Common sense is not common among common people mkuu usisumbuke kujibu watu hii dizain its a wastage of time, energy and data...Kasema ni 1989 ndo kaenda Rwanda sio kipibdi cha vita. Hebu mkuu kuwa na subira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ingetambulika hivyo kila mahali yanapoongelewa, maana kuna mahali hata humu kwenye huu uzi yanatajwa kama vita vya wenyewe kwa wenyewe au vita vya kikabila.
Hakuna uhakika wa 100% nani alihusika kudungua hiyo ndege...jeshi la hutu 80% .kwakuwa mpango wa mauaji ulishapangwa na rais alitaka mazungumzo ya amani alionekana kama msaliti pia.kwahiyo aliaungushiwa jumba bovu ili hutu wapate sababu ya kuanzisha mauaji.kina kagame 10% ( Hakuna sababu) .tz 0.1%.( hakuna sababu).museveni 9.9% ( ipo sababu).Yan nasikitika watanzania wenyewe wanaanza kushirikisha serikali kuhusika na mipango ya Rwanda pia hata Kama ilkua hvyo Basi mjue ilkua n kwasababu za kimaslai dhidi ya bongoland nasio vinginevyo Mana naona kunawatu wanakuja na swaga za bongoland ilihusika hvyo mjue hata Kama ilkua hvyo n kwa usalama wa baba zenu enz zile ndomana Leo unakatiza mikoa unayotaka bila wasiwasi na chezo ukitaka unapewa kwa ukarimu mkubwa.
Hata ukusikia nchi flan imepeleka wanajeshi wa Aman taifa flan jua Kuna kitu taifa lililopeleka hao njemba litanufaika na kitu kutoka huko.
Ila leo Jamaa kauchuna leo Mie naona aje yule jamaa aliemkumbusha kuwa ubaloz ulkua sehemu gan sijui ile, Mana hapa tunalishana mawazo mema kwa taifa Bora la kesho
LIKUD,
Mbona inaonekana wewe ndiye una haraka? Wengi tunafahamu kwamba vita imeanza mwezi huo wa nne hadi wa saba tena mwaka 1994.
Yeye ameanza na mwaka aliomaliza masomo ya stashahada mwaka 1989 na kupata kazi kwenye ubalozi huko Rwanda. Bado anaendelea na background hajafikia kipindi vita imeanza.
We jamaa sidhani kama hata cheti ulipata form 4. Ni mkurupukaji wa kiwango cha SGR. Stori ipo mwaka 89 hata 94 haijagonga wewe tayari ushahitimisha kuwa stori ni ya uongo.Bossless,
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Ni kweli mkuu, halafu kumbuka mtu anajitolea kusimulia buree, jenga taswira uandike story ndefu hivyo kwenye keypad ya simuKwenye hii thread unaweza ukajifunza kwamba:
Wengi wetu (waTz) sio wavumilivu na mwisho wa siku tunalaumu Sana na kutoa maneno yasiyopendeza bila kujua upande wa mlengwa uko vipi.
Halafu wengine mnashindwa kuvumiliana mnatukanana wenyewe kwa wenyewe kisa kupanic.
Kwani mtu akiku quote kakujibu vibaya lazima ujionyeshe wewe mwamba kwa kumtusi?! Tubadilike
Hivi mtu amejielezea Hawezi kuandika haraka lakini mtu unakuja unatukana au kutoa kashfa na maneno mabaya what does that indicate??!
Pia, tujue mtu wa 50+ hashindi na simu muda wote emergencies za hapa na pale, wageni au majukumu katika familia na eneo husika la riziki zinaweza mbana kufanya hivyo kwa wakati. Hebu tuache kuwa na mawazo+ mihemko hasi.
Trust the process, akisema ataleta jua kutulia kusubiri na uelewe huyu anayeandika ni binadamu na anakumbana na maswahibu ya hapa na pale Kama wewe so when the story doesn't come on time, Relax and be positive.
Ame edit usiwe kilazaWe jamaa sidhani kama hata cheti ulipata form 4. Ni mkurupukaji wa kiwango cha SGR. Stori ipo mwaka 89 hata 94 haijagonga wewe tayari ushahitimisha kuwa stori ni ya uongo.
LIKUD kwani lazima kila uzi uchangie? yaani nakuonaga unakaujuaji ka kisekondari sekondari.Hebu hata kama huna nywele sehemu za siri jaribu kujiheshimu.Nenda kwenye majukwaa yenu ya kula mzigo kimasihara huko ndo level zako.
Walikuwa walinda amani hivyo hawakuwa na order ya kuingilia hiyo vita...lakini pia hao inasemekana walikuwa na mambo yao...mabeberu kama kawaida yao...kwahiyo walikuwa kama wale chatu wa ngoma za asili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujajua kuwatofautisha watusi na wahutu. Pole sana.ĹMtutsi huwa mrefu hewani au wa wastani.pua ndefu ya kisomali.ngozi nzuri laini.kama ni mwanamke hubeba hipsi za maana.nywele nzuri pia kiufupi huwa ni wenye mvuto.(pisi kali).hutu huwa vijeba .hawana mvuto nywele kipilipili na pua pana.wengi ni weusi tititii..mademu zao vipori[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu eleza wewe unavyojua..sio unanipa pole tu..elezea tuone..tujifunze..
Hata Mimi nilifikiri hivyo kabla lakini baadae nikagundua kuna watutsi vijeba na vipilipili tu kama wahutuĹMtutsi huwa mrefu hewani au wa wastani.pua ndefu ya kisomali.ngozi nzuri laini.kama ni mwanamke hubeba hipsi za maana.nywele nzuri pia kiufupi huwa ni wenye mvuto.(pisi kali).hutu huwa vijeba .hawana mvuto nywele kipilipili na pua pana.wengi ni weusi tititii..mademu zao vipori[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimekwambia walikuwa na mambo yao...lakini pia walikuwepo kabla vita haijaanza na vita ilikuwa haihusishi wao.kwahiyo walikuwa walinda amani katikati ya vita.ilibidi itoke order ya nini cha kufanya na nini si cha kufanyakutoka kwa mabeberu.wasingeweza kuingilia vita isiyowahusu ndio maana walikuwa wanaokoa raia wao tu wazungu na si hutu or tutsi.walikuwa under pressure zaidi ya unavyodhani.kumbuka walishauwawa wanajeshi kadhaa nyumbani kwa mwanamama waziri mkuu walipotaka kumtetea asiuwawe.they were peace keepers not intarvention forces..sijui umenipata?the situation was very bad!umejikoroga Hapa.
kama walikua wanalinda amani, ni amani gani walikua wanalinda wakat mauaji yanatokea mbele yao wanaona.
Siyo mabasi, kasema walipanda ma lory, nahisi unamzungumzia dereva wa lory.Uje utuambie huyu Mnyarwanda anayetuendesha hapa nyumbani kama alikuja nchini na hayo Mabasi
Sent from my SM-A207F using Tapatalk