Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Hapo mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi hilo wazo limenijia, naona bado hakuna amani ya kweli moyoni baina ya haya makabila mawili, nahisi tu kuwa watawarudi watutsi pindi PG akiachia madaraka.

Nchi za kiafrika kuwa na makabila mawili tu ni janga kubwa sana.
 
Kaka hebu fafanua sababu ya hiyo 9.9%
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naelewa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii story inachosha.. sehemu ya 2 haifunguki....ni kazi kutafuta
 
So una maana nanii ni Mhutu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi hilo wazo limenijia, naona bado hakuna amani ya kweli moyoni baina ya haya makabila mawili, nahisi tu kuwa watawarudi watutsi pindi PG akiachia madaraka.

Nchi za kiafrika kuwa na makabila mawili tu ni janga kubwa sana.
Acha tu mzee baba mpaka sasa kuna mauaji ya kiholela yanaendelea kimya kimya.kuokota mtu kauwawa ni kawaida tu rwanda.ila ndio kimyakimya.amani iliyopo ni ya kuingiza kisiasa tu.watu wana hasira mioyoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hitimisho lako nilakijinga sana, huna tofauti na bashite wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…