Lakini ajabu dunia ilifahamu ikapuuza. Bikira Maria hadi alitokea kuonya kinachokuja lakini wale mabinti waliotokewa walipuuzwa! Ila yale mauaji ya Rwanda sijui nini kiliikumba dunia!Wakati hii vita inatokea kule Soviet napo kulikuwa na mapigano ya kujitenga na urusi, nadhan ndo yalipewa sana airtime , Rwanda zilikua siku 90 tu za Hofu na mashaka , na inasemekana watu zaidi ya milioni moja waliuwawa ndani ya siku hizi tisini.
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Walikuwa watanzania?Usinikumbushe rafiki zangu waliokwama na kuuwawa kwenye mauaji yale, Mwenyezi Mungu awarehemu ,Wapumzike kwa Amani Ameen.
Lakini ajabu dunia ilifahamu ikapuuza. Bikira Maria hadi alitokea kuonya kinachokuja lakini wale mabinti waliotokewa walipuuzwa! Ila yale mauaji ya Rwanda sijui nini kiliikumba dunia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kunifananisha na Bashite sio tusi hata chembe, yaani mimi simchukii mtu hata kama tunatofautiana kimtazamo ama itikadi. Lingekuwa tusi zito ungenifananisha na wewe mwenyewe! Hakika ningeumia sana.
I agree, nafikiri mbingu ilisimama kuona anachofanya binadamu! Yaani walikuwa wanaiangalia dunia kama tunavyoona sasa taarifa ya habari ITV!
Mkuu Rwanda within 90 days watu milioni walidondoka kikatili!!! Yapo majiji hapa Tanzania hayana watu milioni 1!!!Hakuna cha nini kiliikumba dunia, mbona hapa duniani mauaji mengi tu hutokea kuanzia kule kwa Denis sassungweso Congo brazavile mpaka kwa Seleka na antbaraka pale Africa ya kati ukiacha ule ujinga wa Syria, Iraq na Afghanistan.. Kifupi duniani tuko wengi ila wenye dunia wako wachache na hao wachache ndio wameshika remote...
Mkuu Rwanda within 90 days watu milioni walidondoka kikatili!!! Yapo majiji hapa Tanzania hayana watu milioni 1!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu! wakati raia wanauawa hovyo hawa askari wa UNAMIR walikuwa kimya tu bila kufanya kitu?
Lakini ajabu dunia ilifahamu ikapuuza. Bikira Maria hadi alitokea kuonya kinachokuja lakini wale mabinti waliotokewa walipuuzwa! Ila yale mauaji ya Rwanda sijui nini kiliikumba dunia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Raia wa kitutsi na kihutu walikuwa adui.hivyo wale raia wa kitutsi walioko ndani ya rwanda walikuwa wanapenda wanajeshi wa kitutsi ( kina kagame) washinde vita ili nao wawe na power.maana walikuwa wanateseka na manyanyaso ya wahutu.ndio maana hapo msimuliaji alisema kwamba kulikuwa na watutsi wanatoroka kimya kimya wanakwenda msitunni kukutana na waasi.wanapewa mafunzo kisha wanarudi mtaani.na katika hizo safari walikuwa wanatoa siri ya mambo yaliyokuwa yanaendelea ndani ya nchi.hivyo hutu wakaona kuwa wanaishi na wasaliti mtaani.wakaona tutsi wote lao moja na waasi..ndio maana wakapanga kuwapoteza wote ...( mfano ikitokea jirani hakupendi anaenda kwa balozi wa kihutu..anamwambia mzee fulani wiki nzima hayupo mtaani ..ndio karudi leo naskia alienda polini kwa waasi..balozi atawasiliana na kiongozi wa jeshi..hapo watakuja home kukuchomoa na ndio unakufa hivyo.) ...samahani kwa kuingilia simulizi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Bossless kanipigia asema kaenda kwenye show ya Mopao..Koffi olomide...kwahyo mpaka kesho..