Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mkuu naomba link ya sehemu ya Pili na tatu kwenye stori hii
 
Mkuu uliona mbali sana
 
Mkuu ni vyema ikikupendeza, tufungulie uzi pia utufunze zaidi na Sisi pia kupitia ww na mzee wetu hapa naimani kuna madini mengi sana tutapata
 
Duh very interesting aisee
 
Dah, hvi hawa jamaa walipewa sumu gani hizi mpaka kufikia ukatili wa namna hii aisee
 
Eeh Mungu saidia Tanzania isijetokea vita! Hii story imenipa depression for real! Naweza hitaji therapy. Vita ni mbaya sana. Namtukuza Mungu kwa amani ya Tanzania
 
Bro ukiwa mission area ndo utaelewa maana halisi ya haya mambo. Unapokuwa huku unaambiwa jukumu lako la msingi ni ulinzi wa raia( protection of civilian) lkn kiukweli kaka hamna kitu kama hicho ni maigizo tu. Raia wanaweza wakawa wanachinjwa kijiji jirani kabisa na kambi yenu lkn hamruhusiwi kutoka kwenda kuwasaidia kama lengo letu linavyosema, zaid mtasubl wavamiz wakishaondoka nyie muende kukusanya miili tu ya waliokufa na kuwatibu majeruhi. Hivyo msiilaum UNAMIR kutokufanya chochote kipindi hicho
 
Aisee
 

Nimekuelewa ndugu, na kwa maelezo yako inaonekana unajua mambo mengi yahizi mandate za UN missions.
 
Hivyo msiilaum UNAMIR kutokufanya chochote kipindi hicho
Nyongeza ndogo:

Kwa mujibu wa Head of UNAMIR, Dellaire ni kuwa, Team yake haikuwezeshwa vya kutosha interms of rasilimali watu, fedha na vifa. Pili anasema team yake(including yeye) ni watu ambao hawakuwa na uzoefu wa Missions za Afrika. Tatu kulikuwa na communication delay kati yake na UN, mfano alikuja gundua baadae taarifa na maombi mbalimbali aliyokuwa akiyatuma hayakufikishwa mamlaka husika(deliberate barrier).

Kwa muktadha huo anaamini kuwa kuna mpango maalum ulikuwa nyuma ili mission yao isifanikiwe. Mfn, aliomba Marekani izime mitambo kublock matangazo ya radio Collins(iliyokuwa yakichochezi), Marekani ilikataa kwa hoja kuwa wangepata hasara ya kifedha. So, it was a Mission sent to fail. Mauaji ya Rwanda ni ushahidi wa jinsi gani mifumo ya dunia iko corrupt!
 
Asante kwa kujazia nyama kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…