Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mambo yanazidi kuwa 🔥🔥
 
Umasikini ulikuwa mkubwa Sana mwaka 94
Nakumbuka vitu vizuri vyote vilukuwa Ni vya msaada..mfano visu..vikombe.. blanket..n.k vilukuwa Ni ni vya msaada (tulikuwa tunaita kisu Cha mkimbizi..kikombe Cha mkimbizi..n.k
 
Degree imeandikwa wapi ?
Au unasoma story tofauti na hii
 
Hoteli rwanda ni movie tu ile, tulia ntaelezea mambo ambayo hujawahi kusikia popote pale hii sio hadithi ni ushuhuda wangu mwenyewe .kwa macho yangu mwenyewe.





Sent using Jamii Forums mobile app
Bossless nitafute asee nikurushie kitu na world remit kutoka Norway hapa. Yani leo nimeamua kusoma story/ushuhuda wako mda wote huo naipitaga tu nikaamua asee yani ni bonge. Haki ya nani nakurushia laki moja na nusu.
 
We ndo mpumbavu unashindwa kutofautisha stashahada na shahada halafu unajiona mjanja kumbe empty, ukipigwa ban utakuja na iD nyingine humu kulalamika unaonewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah bossless cheka sana. Eti ukipigwa ban utakuja na ID nyingine kulalamika. Yani kama mimi nikipigwa ban nakujaga na ID nyingine yangu Maghayo kulalamika. Mods wameshanijua wananipigaga ban zote kwa wakati mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…