Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Bossless nitafute asee nikurushie kitu na world remit kutoka Norway hapa. Yani leo nimeamua kusoma story/ushuhuda wako mda wote huo naipitaga tu nikaamua asee yani ni bonge. Haki ya nani nakurushia laki moja na nusu.
nipo hapa ndugu nicheki in bobo kwa I'd ya bongoman
 
mimi kipindi hicho nilikuwa nafanya biashara ya dagaa na samaki kitoka visiwani kupitia muganza chato kisha biaramlo rusaunga nyakaura benako zama hizo pakiitwa njia panda ya kwenda karagwe rwanda burund

soko letu lilikuwa kutoka rusumo mpakani mpaka soko lilipokuwa klomita 15 hivi lakini kabla ya kwenda sokoni tulikuwa tukilala njia panda (benako)tukifika siku ya j 3 jioni tukiwa subilia wanayarwanda wavuke hili kesho yake tufanye biasha ya samaki kisha tununue majinzi nakuludizetu

sikuhiyo awakuonekana mpaka usiku tukashangaa kunani kipindi hicho cm hakuna mala magali ya mizigo ya kutoka dar kwenda rwanda burundi yakawa yanazidi kupaki haya vuki matukasikia kupitia sauti ya ujerumani wakisema rais wa rwanda na burundi wapigwa kombora ndani ya ndege wakitokea tz na wote wame kufa

redio ujerumani ikimuoji mtangazaji wa kinyarwanda kabendela shinani akisema sasa watu wanauana sana hasa watusi wanachinjwa sana na wahutu kuanzia mpakani mpaka mpakani mwa rwanda na uganda na drs

takaamua kushuka mpakani kufika kuangalia ng,ambo misululu wa watu unalazimisha kuvuka kuja tanzania polisi walishindwa kuwa zuiya wakaanza kuingia kwa nguvu wengine wana watoto wadogo wengine wamevimba miguu kwa safari ndefu

msululu mwingine wa magali madogo yalio pakia vitanda meza na watoto magali haya yakielekea kahama karagwe mwanza shinyanga runzewe nk

hapo mpakani kuna mto unaitwa rusumo mkubwa sana unaotoka rwanda kumpaka vikitolia kuangalia tukaona maiti zimefungwa kamba na kukatwa vichwa wanawake walio kuwa na mimba walikuwa wametobolewa matumbo yao mto ulikuwa umejaa damu maiti hizo zilienea juu ya maji ziwani nakumbuka

msululu wawatu ulikuwa umetokea kigari rwanda mpaka mpakani rusumo tanzania umbali wa kilomita 150 watu walio ingia tanzania walikuwa wakimbizi 600,000 nakumbuka kama sikosie walijengewa makambi yao pale benako na UN kwa kweli ni habari ndefu sana siwezi simulia yote kuna baadhi ya watu utawasikia wakisema bora vita kuli maisha haya sisi tulio ona vita hiyo kwa macho tunawashangaa sana nimalizie pale benako kambini kwa wakimbizi walikuwepo watoto wasio na mama wala baba tena wadogo miaka 3 5 7 10 wakiomba omba na wakapewa jina la kinyarwanda maibobo

nakumbuka nilienda rwanda mwaka 2015 nikakuta pale kabuga na majerwaa kuna viana wengi wakubwa miaka 20 kuendelea hawa jui ndugu zao wala wazazi wao wakawa wanasema kuwa hawezi kuoa wala kujenga bali hela yao wananua nguo tu viatu na kunywa pilimsi na kuishi kama wafaransa na kuishi wa maisha ya kujiandaa ali moto ukiwaka wasepe wewe ulie waka uzi huu bado uaishi rwanda au tz?
 
Mtoa mada Muongo, Balozi wa Tanzania mwaka 1994 hakuwa mwanamama, alikuwa mwanaume akitwa Salehe Boi Tambwe. Acha story za kutunga.
tunamsebili aje kukanusha au kukubali lakini aje kwa hoja
 
Watu wasiujulikana waliokuwa wanampa support JPM kipindi cha utawala wake walikuwa kama Intarahamwe.
Tundu Lissu alipigwa risasi hadharani na hakuna chombo chochote cha polisi kili react.
 
Wakuu hii stori ni nzuri, ila kuna kaujumbe Bossless anatufikishia, maana kila akiandika stori yake kuna mistari huwa anaweka na kuisisitiza mara kwa mara.

Ahsante mzee tunakuelewa, Mungu ibariki Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitu nimekigundua pia.
Dalii mbili za nchi kuanguka
1: vikundi vya kisiasa vya ulinzi.
2: pesa kukosa thamani.
 
Hii ni kweli tuliona 2020 jinsi Tundu Lissu alivyopona round ya pili kutoroka baada ya uchaguzi kwa msaada wa balozi wa ulaya
 
Walikufa watu wengi wasio na hatia
 
Watu wasiujulikana waliokuwa wanampa support JPM kipindi cha utawala wake walikuwa kama Intarahamwe.
Tundu Lissu alipigwa risasi hadharani na hakuna chombo chochote cha polisi kili react.
Chacha Wangwe yeye alifanyiwa vile na kina nani?
 
Kuna askali alikuwa amesimama upande wangu alikuwa ana RPG na bunduki akawa anaweka vizuri rocket Ili alivurumishe kwenye vile vichaka akinipa Ak47 halafu ananionyesha niendelee kufyatua risasi kwa mbali kupitia tundu la bodi ya gari (yani nilivyoishika ile chuma Kama dakika mbili tu nikajikuta yani nimepata ujasiri mkubwa bila kutarajia hapo ndo nilisema mwanzo nami nikawa nimepigana angalau Vita kidogo yule mwanajeshi akavurumisha lile li rocket Polini mle ndo risasi zikawa zimepoa safari ikawa inaendelea kwa kasi .QUOTED

HAPO MWAMBA ULINIFURAHISHA MAANA NAONA NA WEWE HUKUTAKA UACHWE MBALI NA WEWE UKAWA RAMBO🤣🤣 KAMATIA MU EIKEI FOTISEVENI
 
Itoshe ku sema sterling wa hii story ni balozi wa tanzania rwanda huyo mwanamama simba jike ...amefanya matukio yakibabe mno yaani respect maza alikua hodari yaani unyama mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…