Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Kwanini umechelewa kuleta haya mambo miaka yote hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata CIA huwa wanatoa taarifa zao za missions walizofanya hata kama ni za mauaji baada ya miaka zaidi ya kumi baada ya kujiridhisha hizo taarifa hazitasababisha madhara yoyote juu yao au katika jamii watakayoizungumzia.
 
Ndugu.
Humo kichwan umebeba mengi sana kuhusu 94, tupe uhondo huu.
Huenda JF miaka kadhaa ijayo ikawa ni moja ya chanzo cha habar mbali mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mada nzuri sana humu ndani hasa kuhusiana na changamoto za kisiasa, toka 2007 hadi 2012 kulikuwa na mada nzito nzito, sasa walivyokuja hadi kuanzisha chit chat ndio kabisa zimehamia archive hazionekani.
 
Interehamwe in Rwanda versus UVCCM in Tanzania.
 
Aisee mbona kazi haswaa
 
Kuna ndugu yangu alinisimulia kisa cha Rwanda alikuwa huko baada tu ya kumaliza form 4 Uganda. Ilibidi atoroshwe kwenye land Rover ya UN cafunukwa na magunia ya mkaa, unaambiwa walikuwa wanashindia kiazi ulaya/mviringo kimoja tu. Kuelekea mpakani ktk kizuizi keep Moja issue ya njemba pia kwake ilijitokeza, huyu nani Mtz, passport wapi taja majina matatu mara Tano bila kukosa spelling ndio akarusiwa.
 
Hizi silaha zilinunuliwa nchini china zililetwa rwanda makontena na makontena kwa ufadhili wa mfanya biashara ambaye alikuwa kiongozi wa interahamwe wakati huo george rutaganda.
No ni Felician Kabuga alikua The don behind.
Silaha zote za kilimo alikua ni yeye anauza.
Mzigo ukaingizwa kukiwa na machete( mapanga)
Rutaganda ye alikabidhiwa tu akasimamie watu waingie shambani kukata miwa.
Ndo balaa lote likaanzia hapo.
 
No ni Felician Kabuga alikua The don behind.
Silaha zote za kilimo alikua ni yeye anauza.
Mzigo ukaingizwa kukiwa na machete( mapanga)
Rutaganda ye alikabidhiwa tu akasimamie watu waingie shambani kukata miwa.
Ndo balaa lote likaanzia hapo.
Ni sahihi kabisa
 
Nadhani ameshahukumiwa,afya yake ya mwili na akili haipo sawa,umri pia umeenda sana
 
Pitia list ya mabalozi kipindi utaona jina lake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…