Kahindi95
Member
- Mar 7, 2019
- 31
- 100
Wanajamvi, mimi ni shabiki wa simba, naipenda simba.
Lakini kwa yanayoendelea kwakweli nimevunjika moyo, nimeamua sinunui tena jezi wala sitapoteza pesa zangu kwenda tena uwanjani kwa msimu huu wote.
Nimetazama hizi mechi mbili kwakweli nina maswali mengi sana yasiyo na majibu!
1. Hivi simba inashida gani na makocha? Kwamba kila msimu tumekuwa watu wakufukuza makocha tu? Miaka mitano yote hatujawahi kupata kocha bora wa kuifundisha timu yetu? Makocha wote tuliopata wanamatatizo au simba ndio inamatatizo?
2. Kwahiyo tuliacha kumnunua Manzoki tukaenda kununua Mzungu?
3. Mnauhakika huyu Mo anania njema na simba kweli?
4. Kwanini kila mchezaji mzuri tunayemtaka huwa hatumpati? Na tunazidiwa kete hadi na yanga?
Mf: Djuma shabani, Aziz Ki n.k
WACHA NIPUMZIKE KUSHABIKIA HII TIMU NITAFUTE SHUGHULI NYINGINE ZA KUFANYA
Lakini kwa yanayoendelea kwakweli nimevunjika moyo, nimeamua sinunui tena jezi wala sitapoteza pesa zangu kwenda tena uwanjani kwa msimu huu wote.
Nimetazama hizi mechi mbili kwakweli nina maswali mengi sana yasiyo na majibu!
1. Hivi simba inashida gani na makocha? Kwamba kila msimu tumekuwa watu wakufukuza makocha tu? Miaka mitano yote hatujawahi kupata kocha bora wa kuifundisha timu yetu? Makocha wote tuliopata wanamatatizo au simba ndio inamatatizo?
2. Kwahiyo tuliacha kumnunua Manzoki tukaenda kununua Mzungu?
3. Mnauhakika huyu Mo anania njema na simba kweli?
4. Kwanini kila mchezaji mzuri tunayemtaka huwa hatumpati? Na tunazidiwa kete hadi na yanga?
Mf: Djuma shabani, Aziz Ki n.k
WACHA NIPUMZIKE KUSHABIKIA HII TIMU NITAFUTE SHUGHULI NYINGINE ZA KUFANYA