Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
We siubaki nyumbani bar unafata niniWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampan ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikua natumia lakini naona siyo kabisa
1.Maji
aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakua na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Ebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
We siubaki nyumbani bar unafata nini
Nipe cord iyo nianze mkakati 😄Bar ndio kwenye michongo
Hana kileo chochote uyu 😄Huvuti🏌️
Washikaji na michongo, ukikaa nyumban hupati madili na kukutana na watu wa maanaWe siubaki nyumbani bar unafata nini
Hivi kwer et🤔washikaji na michongo ukikaa nyumban hupat madili na kukutana na watu wa maana
Sasa kwenye kuvuta nitakutana na nani wa maana hao wavutaj wenyewe wameshachanganyikiwaHana kileo chochote uyu 😄
Amini nakwambiaHivi kwer et🤔
😀Hivi kwer et🤔
We unaweza kunywa maji saa 2 mfululizo nimekua ngamia... na maji hunywi?
Agiza Baltika. Ni bia ya kirusi yenye Zero alcohol.Wakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampan ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikua natumia lakini naona siyo kabisa
1.Maji
aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakua na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Ebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Utakua unashawishi watu kuanza kuisogelea Nicotin
Yale madudeAgiza Baltika. Ni bia ya kirusi yenye Zero alcohol.
Kunywa baktika au tonic water na ka limao au hill water ile sparkling mineral waterWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampan ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikua natumia lakini naona siyo kabisa
1.Maji
aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakua na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Ebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo