Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #41
duuhSolution ni kutoenda bar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuhSolution ni kutoenda bar
utakua unakula wenzio wanakuangaliaagizia msosi gonga pembeni na mtoto mzuriii
sijawai yaonaNi maji yenye carbon dioxide gas (carbonated)
Nashukuru we jamaa unaelewaBar kuna company, jitahidi upige tu maji mdogo mdogo ila usisahau kuwapigisha wenzako round. Au nakushauri labda utulie nyumbani na familia yako kwani huko bar ni matumizi makubwa.
Pole mkuu, bar hapakufai nenda vijiwe vya kahawa huko nako michongo waweza pata sema TU huko wamekomalia story uchwara za siasa 😂Tatizo la kiafya
Ila sidhan kama inapatikana sehemu nyingiView attachment 3043942
Nunua hiyo chukuwa na glass changanya na ice piga mdogomdogo
Burudika...hiyo ndio kinywaji yangu nikienda chimbo au naagiza maji Tu.
😂😂😂😂hii idea imechangamka pia😂Nunua pop corn za 5000 na azam embe kubwa. Na uwe mchangia mada
ndo nn hiyoKunywa “black current”🤣🤣
pananifaa we nishauri usiniambie nisiendeIla bar hapafai... Jipongeze kwa hiyo hatua
Google utaonando nn hiyo
Sjajua Kwa BongoIla sidhan kama inapatikana sehemu nyingi
inauzwa sh ngap
heee kumbe haupo bongo ndo maana nimeshangaa icho kinywaji😂😂Sjajua Kwa Bongo
maziwa bar naww jamaaKunywa maziwa nusu lita ndani ya masaa 4, au yaangalie tu baadae unarudi nyumbani
bongo yapo haya