Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #61
😂😂😂Tafuta hobby nyingine uishi mkuu, sio lazima uende bar...au kama vipi ukifika bar kunywa sparkling water then uwe unaangalia misambwanda hadi ulewe🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Tafuta hobby nyingine uishi mkuu, sio lazima uende bar...au kama vipi ukifika bar kunywa sparkling water then uwe unaangalia misambwanda hadi ulewe🤣
kawaida basi iifungie ndaniutakua unakula wenzio wanakuangalia
Sema ushauri bure... Achana na bar... Kama ni stress jaribu kupunguza kwa njia nyingine... Tembea tembea kidogo... Jaribu kupika mwenyewe porini au Sehemu yoyote yenye kaupepo una forget kama kuna shida atleast for some hoursmaziwa bar naww jamaa
ha hakawaida basi iifungie ndani
aah ntayaulizia radha yake ikoje?Kiwanda kipo hapahapa Bongo.
Kukusanya umbeaWe siubaki nyumbani bar unafata nini
kunywa wine nyekundu glass moja kwa muda mrefu sana tena iwe drywine ni nzuri kwa afyaAmini nakwambia
hahaaha....nilijua hili jibu litakuwepo tu ni swala la mudaMkuu ukifika bar wenzako wakiwa wanapiga Gambe, we angaza angaza macho ukiona kuna malaya yoyote chukua kapige short time afu unarudi, ukikaa kidogo unatafuta mwingine tena, hivyo hivyo mpaka time ya kuondoka
wine ni pombe ! mi sinywi pombekunywa wine nyekundu glass moja kwa muda mrefu sana tena iwe drywine ni nzuri kwa afya
unamjua ?😂hahaaha....nilijua hili jibu litakuwepo tu ni swala la muda
ni kweli tafuta mug maalum ambayo haipozi inaweza faaakili huna ww😂😂
Wana manenoKunywa maji tu mkuu ila ujiandae kudharauliwa na waudumu
Kwanini uende bar kama haunywi?Wakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
heee nisaidieni jaman huyu jamaaKwanini uende bar kama haunywi?
😂😂😂ni kweli tafuta mug maalum ambayo haipozi inaweza faa
Kirikuu leo kaongea point 😹😹😹We siubaki nyumbani bar unafata nini
Kwani lazima uende bar?Wakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo