Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Mazoea ni mabaya sana. Yeye ndo alikua kwenye mchakato ndugu yangu. Ukiangalia ni biashara kubwa hapa. Ila ni mpambanaji. Atarudi tena. All is well
Kwa ule Ujenzi Bima lazima wamzingue.. Wakati ameweka yale Makuti alikuwa hana Bima pia.. sababu hiyo hiyo..

Watu wanakwepa Liability.
 
Soo sad hakua na bima. He was on the process. Siyo ukumbi, siyo bar, sijui supermarket etc chenye bima. Alikua yuko kwenye mchakato ndo shetani akaingilia. ...
Kwahiyo wale walokua wanahisi maybe bima sijui kachoma and everything. Hapana. Niliamini hivyo pia. Hoping all will go well.
Halafu kuna kitu pengine hatukijui..

Nimesoma humu watu wanasema kuwa amechoma sababu anataka kufidiwa na Bima.. Na kudhani kuwa Bima kila Janga linalipa..

Mfano, kuna watu wanatengeneza ramani Gari linaibiwa hapo ana Comprehensive. Ana claim kulipwa jipya.. kikosi kazi kikiingia kazini na kubaini gari halijaibiwa kuna namna imefanyika.. Halilipwi.. Hivyo hivyo na majanga ya moto n.k.

Kwa hiyo Bima nao wapo makini hizi mambo wanazijua vizuri sana tu.
 
Watu wanapachukulia poa pale... Ukiingia saa tano usiku hutoki unajikuta imefika saa saa 12 asubuhi.. ukitoka mule lounge unaona nje wanafagia na msanii yule wa Nako2Nako Yuko counter ya nje anamalizia kuomba omba bia pale kwa Madon.

Wamasai na Mabaunsa wote wamelewa, Dada zangu Makahaba waliochunda nao wamelewa balaa.

Mjomba ako nlikuwa nakaa nyuma ya wanyama Hotel, naenda kupumzika tu jioni mapema niko naanzia Tegeta pale China Bar pametulia ikifika saa tano Niko La Chaaz humo ndio nafanya unyama.

Niliteketeza hela pale La Chaaz to the extent nikapachukia saana.
Msanii yupi huyo mkuu
 
Shida zote hizo ili uonekane mtu wa aina fulani?! What's wrong with being who you are?! Kweli nishazeeka.
Vijana wanakwambia Ukiwa mkweli utapambana na geisha mpk ujute.

Ndio maisha ya kiboya hayo waliyochagua vijana laini laini.
 
Halafu kuna kitu pengine hatukijui..

Nimesoma humu watu wanasema kuwa amechoma sababu anataka kufidiwa na Bima.. Na kudhani kuwa Bima kila Janga linalipa..

Mfano, kuna watu wanatengeneza ramani Gari linaibiwa hapo ana Comprehensive. Ana claim kulipwa jipya.. kikosi kazi kikiingia kazini na kubaini gari halijaibiwa kuna namna imefanyika.. Halilipwi.. Hivyo hivyo na majanga ya moto n.k.

Kwa hiyo Bima nao wapo makini hizi mambo wanazijua vizuri sana tu.
Tafuteni hela ndg zangu.

Ile ghorofa ya Mengi kipindi kile imeungua zilipishana pale kwake gari za zimamoto kutoka Co. Kama 5 au 6 tofauti tofauti za Security kuja kuzima huo moto.

Maana kesho yake wanajua mzee baba atawaandikia cheki fasta bila longo longo.
 
Back
Top Bottom