Sio dhambi! Tume ya Uchaguzi wakajifunze kwa CHADEMA namna ya kuendesha chaguzi

Sio dhambi! Tume ya Uchaguzi wakajifunze kwa CHADEMA namna ya kuendesha chaguzi

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Hawa wanalipwa mishahara na posho kwa kodi zetu sisi watanzania.

Ila kwa kifupi hawaendeshi chaguzi ila wanafanya maigizo ya kaole tena kwa fedha za watanzania ili kuonyesha upuuzi na ujinga wa mtu mweusi kupitia sanduku la kura.

Rai yangu leo. Naomba wafanye study tour ofisi za CHADEMA Makao Makuu na wakajifunze namna ya kuendesha chaguzi huru na za haki

Tena waende wote. Kuanzia Mwenyekiti hadi Mtumishi wa chini. La sivyo kuna siku si nyingi wataitumbukiza hii nchi kwenye machafuko maana kwa sasa watanzania wameona kupitia uchaguzi wa viongozi wa Chadema nini maana ya chaguzi huru na za haki.

Nimemaliza.
 
Wakifanya hivyo ccm inaenda na maji asubuhi mapema

Kama Mbowe aliyekua anamiliki Chama chake amekubali kupisha sanduku la Kura na kuachia chama chake .CCM ni nani asiachie ofisi za umma kwa nguvu ya umma .

Mwaka huu CCM wanaindoka kwa kura .

Ukiona CCM inatumia nguvu ujue bado ina nguvu na watu wengi . Ukiwa na watu wengi hiyo ndiyo nguvu ya umma . Kwa sasa ni wazi wazi wanaosimama na Chadema ya Lisu ni wengi sana mpaka ndani ya vyombo vya dora.
 
Hawa wanalipwa mishahara na posho kwa kodi zetu sisi watanzania.

Ila kwa kifupi hawaendeshi chaguzi ila wanafanya maigizo ya kaole tena kwa fedha za watanzania ili kuonyesha upuuzi na ujinga wa mtu mweusi kupitia sanduku la kura.

Rai yangu leo. Naomba wafanye study tour ofisi za CHADEMA Makao Makuu na wakajifunze namna ya kuendesha chaguzi huru na za haki

Tena waende wote. Kuanzia Mwenyekiti hadi Mtumishi wa chini. La sivyo kuna siku si nyingi wataitumbukiza hii nchi kwenye machafuko maana kwa sasa watanzania wameona kupitia uchaguzi wa viongozi wa Chadema nini maana ya chaguzi huru na za haki.

Nimemaliza.
Ukisema tume ya uchaguzi ni sawa na kuiambia ccm.. Ccm wakiweza kujifunza tume itafuata mkondo
 
Hawa wanalipwa mishahara na posho kwa kodi zetu sisi watanzania.

Ila kwa kifupi hawaendeshi chaguzi ila wanafanya maigizo ya kaole tena kwa fedha za watanzania ili kuonyesha upuuzi na ujinga wa mtu mweusi kupitia sanduku la kura.

Rai yangu leo. Naomba wafanye study tour ofisi za CHADEMA Makao Makuu na wakajifunze namna ya kuendesha chaguzi huru na za haki

Tena waende wote. Kuanzia Mwenyekiti hadi Mtumishi wa chini. La sivyo kuna siku si nyingi wataitumbukiza hii nchi kwenye machafuko maana kwa sasa watanzania wameona kupitia uchaguzi wa viongozi wa Chadema nini maana ya chaguzi huru na za haki.

Nimemaliza.
Naunga mkono hoja
P
 
Hawa wanalipwa mishahara na posho kwa kodi zetu sisi watanzania.

Ila kwa kifupi hawaendeshi chaguzi ila wanafanya maigizo ya kaole tena kwa fedha za watanzania ili kuonyesha upuuzi na ujinga wa mtu mweusi kupitia sanduku la kura.

Rai yangu leo. Naomba wafanye study tour ofisi za CHADEMA Makao Makuu na wakajifunze namna ya kuendesha chaguzi huru na za haki

Tena waende wote. Kuanzia Mwenyekiti hadi Mtumishi wa chini. La sivyo kuna siku si nyingi wataitumbukiza hii nchi kwenye machafuko maana kwa sasa watanzania wameona kupitia uchaguzi wa viongozi wa Chadema nini maana ya chaguzi huru na za haki.

Nimemaliza.
Ngoja Luka aje akuambie Ile ya kwao ndo nzur ya wanao afiki waseme ndiyo na wasio afiki waseme sio,alaf kinafuata walio afiki wameshnda
 
Back
Top Bottom