Sio dhambi! Tume ya Uchaguzi wakajifunze kwa CHADEMA namna ya kuendesha chaguzi

Sio dhambi! Tume ya Uchaguzi wakajifunze kwa CHADEMA namna ya kuendesha chaguzi

WALE NECK WATAHUKUMIWA NA MUNGU.

MILAANA UMASIKINI WA HII NCHI NI KWASABABU ZA DHURUMA,RUSHWA, WIZI NK.

MUNGU HATOWAACHA.
 
Hahahahaha

Wale hawanaga shida. Shida ipo TISS. Siku TISS wakipata akili mbona Tume itafanya kazi zake vizuri kabisa?
Hao TiSS hawawezi kufurukuta mbele ya Madoadoa, watapewa tu maelekezo kwa shuruti kufuata sheria kikamilifu..

NEC na magenge yao wanakera mno, wamefanya umma wa Watanzania kuwa kama watumwa nchini mwao maana kura zao hazina tija kabisa
 
Back
Top Bottom