Sio kila anayechelewa kuoa anapenda

Sio kila anayechelewa kuoa anapenda

Kwani wee umewaza nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewaza inawezekana vijana wanataka wanawake warembo kupitiliza, kuliko hali zao na huyo mrembo awe na tabia nzuri tena.

Wakati unaweza nenda hapo ngara au bunda ukaja na wife material basi limejaa😅😅
 
Mimi ni mwanaume mwenye miaka41, nipo mzima kiafya na ni mcha MUNGU.

Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu kupata shida ya kupata mke sahihi, nilikuwa napata wapitaji. Sasa juzi, Kuna ushahidi nimeupata (recorded) mtu alienilea tangu mtoto, anasema, Mimi sitaoa au kuwa na familia maisha yangu yote.

Kisa nilikataa kumuoa mwanamke alienipangia..kipindi kile nilikua Sina chochote nisingeweza kumuoa..

Mind you huyu mtu ni kiongozi mkubwa kanisa Moja hapo Mwenge la mtume na nabii.

Nimeaamua kupambana nae, Kwa nguvu za MUNGU nitafanikisha hili jambo..

NAWASILISHA
Kama umeweza kuwaza kuwa huyo ni mtume na nabii basi wewe ni mpumbavu moja kwa moja....
 
Mimi ni mwanaume mwenye miaka41, nipo mzima kiafya na ni mcha MUNGU.

Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu kupata shida ya kupata mke sahihi, nilikuwa napata wapitaji. Sasa juzi, Kuna ushahidi nimeupata (recorded) mtu alienilea tangu mtoto, anasema, Mimi sitaoa au kuwa na familia maisha yangu yote.

Kisa nilikataa kumuoa mwanamke alienipangia..kipindi kile nilikua Sina chochote nisingeweza kumuoa..

Mind you huyu mtu ni kiongozi mkubwa kanisa Moja hapo Mwenge la mtume na nabii.

Nimeaamua kupambana nae, Kwa nguvu za MUNGU nitafanikisha hili jambo..

NAWASILISHA
Mbona mungu zimekuwa nyingi, achana na kuoa kula nyapu adi shetani aone wivu.
 
Nimewaza inawezekana vijana wanataka wanawake warembo kupitiliza, kuliko hali zao na huyo mrembo awe na tabia nzuri tena.

Wakati unaweza nenda hapo ngara au bunda ukaja na wife material basi limejaa😅😅
 
Back
Top Bottom