Sio kila anayechelewa kuoa anapenda

Kwani wee umewaza nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewaza inawezekana vijana wanataka wanawake warembo kupitiliza, kuliko hali zao na huyo mrembo awe na tabia nzuri tena.

Wakati unaweza nenda hapo ngara au bunda ukaja na wife material basi limejaa😅😅
 
Kama umeweza kuwaza kuwa huyo ni mtume na nabii basi wewe ni mpumbavu moja kwa moja....
 
Ukitaka single mom humkosi hapo mkuu!!
 
Mbona mungu zimekuwa nyingi, achana na kuoa kula nyapu adi shetani aone wivu.
 
Nimewaza inawezekana vijana wanataka wanawake warembo kupitiliza, kuliko hali zao na huyo mrembo awe na tabia nzuri tena.

Wakati unaweza nenda hapo ngara au bunda ukaja na wife material basi limejaa😅😅
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…