Sio kila kikuvutiacho machoni kinafaa NIMEKOMA

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daw zake ndizo zilinifanya kuamini na kwel somtym pumzi zinakata anashindwa kuhema

Yan kukata pumzi ndio ukimwi mkuu ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah wakuu tuvae kondom
 
Nikishawah kumla mwanamke mzuri huyooo mpaka basi ila gono nililopata yan sidhan kama kuna mtu aliwah pata kama hilo yan masaa mawili mengi wazungu wa gono hawa hapa, nlienda hospitali nikapima kila kitu nikamwomba daktari anipe double dose yan vidonge na zile sindano tano za wiki moja aisee siji weka bila ndom demu nisiemjua na simkomesh, natomba kidogo tu nikikojoa nishamaliza sitak maelezo wala ufundi
 
ndo slogan yangu mimi
 
Hapo huyo ilibidi atafute mbinu ya kuchomoka kwenye mtego wa FISI
 
Hapo huyo ilibidi atafute mbinu ya kuchomoka kwenye mtego wa FISI

Ila ndugu yang vitu vingn tukijibiwa ukwel tusikatae kwamaan wengn wanamoyo wa huruma na si kuambukiza wengn kwa kusud
 
Mtoto alikuzidi maarifa.....
kakuacha mbaaaali sana...
 
Pole mkuu...wengi waliozaliwa wakiwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI ni watu poa sana. Wamefundishwa mengi tangu wakiwa wadogo na wako makini. Wanajitahidi kuwalinda wengine hasa wanapogundua wenzi wao au watu waliokaribu nao ni wazembe kwenye kujilinda.
Shughuli pevu ipo kwa waliopata virusi vya UKIMWI ukubwani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninecheka San lol
 
Yaan huwa nikifikiria hili gonjwa, had mishipa ya nyege inasinyaa ila bas tyuuuh duuuh.
[emoji2296][emoji2296]
 
Tatizo nyie mnachoamini mtu akiwa na bambataa basi ni mrembo, mtaliwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…