KWELI Sio kila muwasho wa uume unasababishwa na maambukizi ya magonjwa ya ngono

KWELI Sio kila muwasho wa uume unasababishwa na maambukizi ya magonjwa ya ngono

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
1670566866822.png

Wakati mwingine siku chache baada ya kushiriki ngono bila ya kutumia kinga unaweza kuhisi miwasho kwenye uume na hata maumivu kwenye njia ya mkojo. Mara nyingi wanaume huingiwa na wasiwasi wakifikiri kwamba wameambukizwa gonorrhea.

Ukweli wa jambo hili upoje?
 
Tunachokijua
Sio kila muwasho unaotokea kwenye via vya uzazi huashiria uwepo wa maambukizi ya magonjwa ya zinaa. Kuwashwa kwa uume kunaweza kuchangiwa na mambo yafuatayo;
  1. Mzio (Allergy) na kondomu, unaweza kutumia kondomu ila ukapata miwasho. Hali hii inaweza kutokea pia hata kwa mwanamke.
  2. Sababu nyingine huenda kweli ikawa ni magonjwa ya zinaa kama vile klamidia unaosababishwa na bakteria, Kisonono (gonorrhea) na pia malengelenge (warts). Miongoni mwa dalili za uwepo wa magonjwa haya ni maumivu kwenye njia ya mkojo, maumivu kwenye njia ya haja kubwa, miwasho pamoja na kutokwa uchafu kwenye via vya uzazi.
Hivyo, miwasho mingine hutokea pasipo uwepo wa maambukizi yoyote ya magonjwa ya zinaa.

Aidha, ni muhimu kuchukua tahadhari zote za kujilinda pamoja kwenda kupima katika vituo vya afya pindi unapojihisi kuwa na dalili husika.

Wakati mwingine siku chache baada ya kushiriki ngono bila ya kutumia kinga unaweza kuhisi miwasho kwenye uume na hata maumivu kwenye njia ya mkojo. Mara nyingi wanaume huingiwa na wasiwasi wakifikiri kwamba wameambukizwa gonorrhea.

Ukweli wa jambo hili upoje?
Ukitumia dawa za malaria na ukiwa na mzio lazima uwashwe uume.
 
Back
Top Bottom