jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Siwapendi hawa mtu analazimisha kutumia herufi isiyotumikaHahahahaa....kuna wale wa 'xaxa' akimaanisha neno ' sasa'...khaaa!
mazoea hujenga tabiaNi utoto tu wakikua wataacha
Mburahati na magomeni ndio misemo yao hukoVeepe-vipi
Ni matunda ya kizazi cha BRNHii hali inaboa sana
Japo kuna baadhi ya maneno ni yapo na yanaeleweka ukifupisha mfano (ktk) ni katika au (n.k) ni nakadhalika
Sasa kuna watu wanakera wanafupisha neno *Dogo* wanaandika (Dog) sasa inamaana gani!?, na vile vi fupi zaidi eti K, P
Hawaelewi kua tutaharibu kiswahili chetu tunaweza tengeneza lugha ingineNa baraza la kiswahili wapo kimyaaa, utasikia jumamosi wanaongelelea tuuuu eti kiswahili kimepanuka, hawayaoni madudu haya na kuyakemea, Tanzania bwanaa.....
[emoji23]Ni matunda ya kizazi cha BRN
huu msemo unatumiwa na radio flani hivi unakera sanaIMEPENYA
IMEPENYA
Ushakutana na kifupi gani kilicho kukera 🙂[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiandikiwa hivo huwa sirespondHahahahaa....kuna wale wa 'xaxa' akimaanisha neno ' sasa'...khaaa!
waaribifu=waharibifu[emoji23]
[emoji23]
Hii inaweza kuwa kweli maana vijana weng wa BRN ndio waaribifu wa maneno ya kiswahili