jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
- Thread starter
-
- #21
Kuna member mmoja mpya ndio anatumia sana ,Ukiingia kwenye mitandao ya facebook na insta utakutana na maneno ya aina hiyo mengi sana, wengine wameanza kuyaleta jf pia.
(mpm sn) ina maana gani mimi pia umeniacha mkubwaKuna mzee mmja msomi mkubwa tu alinifupishia neno hili (mpm sn) sikuelewa mara moja alimaanisa nini aisee
Duh umenikamata mi mwenyewewaaribifu=waharibifu
Jumbe za hivi atatuma mara mia ila hatokaa aone jibu langu.inakera sana.Hahahahaa....kuna wale wa 'xaxa' akimaanisha neno ' sasa'...khaaa!
Wanakera kwa kiasi kikubwaUkinitumia msg ambayo haijafuata utaratibu wa kiuandishi hata kama una shida kiasi gani huwa naghairi automatically kukusaidia, na kama utanikuta nipo kwenye mood mbaya wala sikujibu!
KARIBU jamii forumUwii jamani hizi ndo mada za JF kumbe
Mapema sana= mpm snKuna mzee mmja msomi mkubwa tu alinifupishia neno hili (mpm sn) sikuelewa mara moja alimaanisa nini aisee
Basi mororoIMEPENYA
Halafu utakuta DUMEzima lina sema hilo nenoMimi hakuna neno linakera kama hili vepee yaani wanaonitumia sms kwa kutumia hilo huwa nawarudisha kama lilivyo au kukaa kimya.
Hahahaha hawa ndo wapuuzi balaa. Haiingii akilini kwanini atumie ma X X aaaaaagh...!Hahahahaa....kuna wale wa 'xaxa' akimaanisha neno ' sasa'...khaaa!
[emoji23]Naongezea siku hizi mtu kama hujui neno la kiingereza linaandikwaje kwa ufasaha.
*siriasi
*sredi
*Lokesheni
*kontradiksheni
Sometimes sio swagga ila hujui ufasaha wake linaandikwaje, mtu mzima inabidi uliandike kibongo bongo
Duh inabidi iwe hivyo aiseekifimbo cheza kwa JF wote wanaoharibu lugha yetu watapigwa BAN
Kumbe ina maana hiiMapema sana= mpm sn
sana wanaboa kinomaxaxa - sasa
tory -story
mimi -mie
p -poa
yanaboa sana hasa akiyatumia mwanaume.