Sio kila neno ni la kufupisha inaboa sasa!

Mtu utamtumia meseji ye anajibu K, wanaboa sana
 
Haya maneno huwa karibia kila siku nayaona kwenye mitandao au wananitext aisee....
Mademu huwa nawauliza mara mbilimbili, kama ni msela namkatia au namchana namwambia andika vizuri mkuu


ww
nn
mm
yy
ss
hpn
ndy
np
hm
ntkj
cj
uciwaze
nmb
instgrm
whtsp
naje
mbn kmy
nkpnd
lv


Yaani wanakera, basi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…