ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Inabidi week yako moja uamue tu hakuna kula ugali wala wali ni mwendo wa ndizi, choroko, soya, pweza, papai, tango, Viazi, maziwa, maji, karanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Farasi ni kinywaji kipya!?Binafsi ratiba yangu ni unpredictable....
Kutokana na matatizo mengi ya Afya siku hizi nimejitahid kuwa mwangalifu kwa kile nachokula..
Mtu unakunyw Farasi unachanganya na Karanga mbichi si unajitafutia kukaanga bandama hizo.
Zinaenda kupikwa ndani na farasBinafsi ratiba yangu ni unpredictable....
Kutokana na matatizo mengi ya Afya siku hizi nimejitahid kuwa mwangalifu kwa kile nachokula..
Mtu unakunyw Farasi unachanganya na Karanga mbichi si unajitafutia kukaanga bandama hizo.
Farasi ni nini?Zinaenda kupikwa ndani na faras
Hii n muhimu kabisa ili tujifunze kuheshimu walio na njaa.... au kuna siku tutapata na kusiku tutakosa. Vile vile njaa inatufunza kupambana kila nyakati.Hata kushinda njaa !.