Sio kila siku unakula vyakula common

Sio kila siku unakula vyakula common

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Inabidi week yako moja uamue tu hakuna kula ugali wala wali ni mwendo wa ndizi, choroko, soya, pweza, papai, tango, Viazi, maziwa, maji, karanga.

DSC_0365.JPG
Screenshot_20240622-174658.png
DSC_0366.JPG
DSC_0364.JPG
DSC_0372.JPG
DSC_0362.JPG
DSC_0369.JPG
 
Ou hiyo supu ya pweza umenikumbushq kunq kipindi nilienda Mtwara,kuna wale wamama wanapita mtaani na samaki na pweza wale pweza walikuwa wanauza kwa bei ndogo sana nilikuwa nabeba kwa 1,500/-
downloadfile-4.jpg
 
Back
Top Bottom