ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Farasi ni kinywaji kipya!?Binafsi ratiba yangu ni unpredictable....
Kutokana na matatizo mengi ya Afya siku hizi nimejitahid kuwa mwangalifu kwa kile nachokula..
Mtu unakunyw Farasi unachanganya na Karanga mbichi si unajitafutia kukaanga bandama hizo.
Zinaenda kupikwa ndani na farasBinafsi ratiba yangu ni unpredictable....
Kutokana na matatizo mengi ya Afya siku hizi nimejitahid kuwa mwangalifu kwa kile nachokula..
Mtu unakunyw Farasi unachanganya na Karanga mbichi si unajitafutia kukaanga bandama hizo.
Farasi ni nini?Zinaenda kupikwa ndani na faras
Hii n muhimu kabisa ili tujifunze kuheshimu walio na njaa.... au kuna siku tutapata na kusiku tutakosa. Vile vile njaa inatufunza kupambana kila nyakati.Hata kushinda njaa !.