Sio kila Single Mother anateseka na maisha wengine wanabarikiwa baada ya kuwa Single Mothers

Sio kila Single Mother anateseka na maisha wengine wanabarikiwa baada ya kuwa Single Mothers

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,
Siwezi kusema mengi sana kuwa single mother ni matokeo ya maisha ya sisi wanadamu kama ilivyo kwa magonjwa na vifo na mengineyo.

Kuna single mothers wamebarikiwa baada ya kuwa single mothers, wengine wamefunuluwa baraka na Neema tele baada ya kuachika kwenye ndoa zao.

Kuna baadhi ya wanawake wameleta Neema na baraka kwenye familia na jamii zao baada ya kuachana na waume zao, wengine pasipo kuolewa wamepata Neema na riziki za maisha baada ya kupata mtoto na watoto.

Sina mengi ya kusema ila ibaki hivyo, mashuhuda ni watu na huu Uzi utadumu milele na milele na watu wataendelea kutoa shuhuda zao.

Niwatakie jumapili njema

Ni hayo tu

Wadiz
 
Umelipwa

20240328_235858.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Single mother, inamaanisha kuna kitu hakikuenda sawa aidha mumewe kufariki au mgogoro uliosababisha ndoa yake kuvunjika.

Kuhusu maisha kuwa mazuri ni jambo jema, lakini tumuombe Mungu awasimamie kina mama walee watoto katika ndoa zao
 
Single mother, inamaanisha kuna kitu hakikuenda sawa aidha mumewe kufariki au mgogoro uliosababisha ndoa yake kuvunjika.

Kuhusu maisha kuwa mazuri ni jambo jema, lakini tumuombe Mungu awasimamie kina mama walee watoto katika ndoa zao
Mume anapo fariki, mke anabaki akiitwa mjane na sio singo mama
 
Riziki ni kama akili hukaa kwa yeyote pasi na kujali kabila dini jinsi n.k hii Haina kabisa uhusiano na ye kuwa single or married
 
Jidanganyeni tu nyie masingle mama mtateseka mpaka muombe poo na sisi wanaume tumekubaliana hatuwaoi ni mwendo wa kuwapelekea moto tu mpaka mseme

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huwa nawatetea single mothers kama binadamu wengine ila ukitafakari ni wanawake wasiopaswa kuzingatiwa kwenye jamii ya watu wastaarabu. Wengi wao walizalishwa kwa kiherehere chao cha kukimbilia mapenzi kabla ya muda. Kibaya ni kwamba wakati wakiwa mapenzini kabla ya kuzalishwa huwa hawasikilizi mtu yeyote wakiwemo wazazi zaidi ya hao wanaume zao. Wakitelekezwa ndo hutia huruma nakuanza kujigongesha kwa wanaume waliowakataa mwanzoni kwa dharau. Kinachokera na kuumiza zaidi ni kuwa single mothers wote huendelea kuwa na mapenzi na wanaume waliowazalisha kwa maisha yao yote. Ikitokea mwanaume wake anataka kurudi basi atakuacha mchana kweupe bila kujali maumivu yako. Hata hawa single mothers waliofiwa na baba watoto zao ni wapumbavu kwasababu mapenzi yao huwa kwa marehemu zaidi na watoto wake. Utakubali kuoa mtu ambaye kila mwaka husherehekea birthday ya marehemu? SAY NO TO SINGLE MOTHERS.
 
Back
Top Bottom