Sio kwamba sitaki kukuoa Pamela, embu niambie nitakuoaje?

Sio kwamba sitaki kukuoa Pamela, embu niambie nitakuoaje?

Umewakilisha uhalisia wa vijana wengi wa kiTanzania, siyo kwamba hawana nguvu za kiume bali ni hali ya uchumi 'duni' inawaweka mbali na suala la ndoa.
Unawezaje kusimamisha viungo au kupata hamu ya tendo wakati,..
1. Huna chakula njaa kali sana
2. Unadaiwa kodi, ni zamu yako kulipa umeme au maji au matakataka.
3. Mwanamke anakuheshimu vipi unakaukanmpaka hela ya pedi Huna,

achana na kitu inaitwa umaskini. Usikie usisimuliwe..

Inafika kipindi ukipata ujumbe wa message kutoka tigopesa pressure inapanda na kununa simu....

Mungu atusaidie vijana tupate mbinu za kupata pesa.
 
Na huyo Pamela mwisho wake atazeeka na kukuchukia kabisa wewe kwa kumpotezea muda japo umemtahadhalisha
 
Unawezaje kusimamisha viungo au kupata hamu ya tendo wakati,..
1. Huna chakula njaa kali sana
2. Unadaiwa kodi, ni zamu yako kulipa umeme au maji au matakataka.
3. Mwanamke anakuheshimu vipi unakaukanmpaka hela ya pedi Huna,

achana na kitu inaitwa umaskini. Usikie usisimuliwe..

Inafika kipindi ukipata ujumbe wa message kutoka tigopesa pressure inapanda na kununa simu....

Mungu atusaidie vijana tupate mbinu za kupata pesa.
Ukweli mchungu sana huu.
 
Back
Top Bottom