The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa upinzani kuwaaminisha wananchi kwamba mambo matatizo mengi tuliyo nayo, yanatokana na katiba mbovu tuliyonayo.
Madai haya yanaweza kuwa na ukweli ila ni kwa kiwango kidogo sana. Ukweli ni kwamba hata katiba bora yenyewe huwa ni matokeo ya msuguano wa hoja nzito miongoni mwa wanajamii husika.
Sehemu kubwa ya madai yanayohusu katiba yaliyopo sasa, yamejengwa kwenye tamaa ya kushika dola ndio maana hayawezi kufua dafu mbele ya walioshika madaraka
Madai haya yanaweza kuwa na ukweli ila ni kwa kiwango kidogo sana. Ukweli ni kwamba hata katiba bora yenyewe huwa ni matokeo ya msuguano wa hoja nzito miongoni mwa wanajamii husika.
Sehemu kubwa ya madai yanayohusu katiba yaliyopo sasa, yamejengwa kwenye tamaa ya kushika dola ndio maana hayawezi kufua dafu mbele ya walioshika madaraka