Sio lazima uende CHADEMA ili kuwa mpinzani, jipenyeze kwenye mifumo yao kama Magufuli halafu badili uliyokuwa unaona si sawa

Sio lazima uende CHADEMA ili kuwa mpinzani, jipenyeze kwenye mifumo yao kama Magufuli halafu badili uliyokuwa unaona si sawa

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali.

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart, jiunge na Chama tawala, chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu, nguvu na fedha, utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo, Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi, amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
 
Wazo zuri lakini wakisikia hivyo basi wale wote wenye vimelea vya kupinga ufisadi ndani ya CCM watafanyiwa vitimbi na hata kulambishwa sumu wasije wakafika huko juu wakaleta madhara kwa mfumo wa kifisadi unaofanya kazi CCM kwa sasa, mfano hai ni Luhaga Mpina huyu atawekewa zengwe na akiwa mgumu wanaweza hata kumtoa roho na kumtupa kwenye hifadhi ya Katavi aliwe na wanyama .
 
Sio kweli
Wazo zuri lakini wakisikia hivyo basi wale wote wenye vimelea vya kupinga ufisadi ndani ya CCM watafanyiwa vitimbi na hata kulambishwa sumu wasije wakafika huko juu wakaleta madhara kwa mfumo wa kifisadi unaofanya kazi CCM kwa sasa, mfano hai ni Luhaga Mpina huyu atawekewa zengwe na akiwa mgumu wanaweza hata kumtoa roho na kumtupa kwenye hifadhi ya Katavi aliwe na wwanyama.
Kwa sasa kujifunga CCM Kwa Nia hiyo utakuwa umechelewa.

CCM Ina muda Mchache kabla ya kujifia.

Wazo zuri lakini wakisikia hivyo basi wale wote wenye vimelea vya kupinga ufisadi ndani ya CCM watafanyiwa vitimbi na hata kulambishwa sumu wasije wakafika huko juu wakaleta madhara kwa mfumo wa kifisadi unaofanya kazi CCM kwa sasa, mfano hai ni Luhaga Mpina huyu atawekewa zengwe na akiwa mgumu wanaweza hata kumtoa roho na kumtupa kwenye hifadhi ya Katavi aliwe na wanyama .
Unadhani hawajajaribu kumdhuru?
 
Zaidi ya kuwa dikteta na kupenda sifa na uongo sijaona lingine lolote la maana alilofanya kubadili ubaya wa ccm.
Ishu sio ubaya wa ccm, ila alijua kucheza na system ile ile iliyomuweka,,,kwa alichosema mleta mada ni kweli,, na kuna watu humohumo ndani ya chama wamefikia hatua ya kua na nguvu kubwa kwa njia kama hizo ,japo sasa kila mtu ana nia yake akishafika juu tofauti ndo zinajitokeza hapo....................ndo maana kuna wahuni hawana itikadi za chama ila wanajua kwa kucheza ndani ya system ni salama zaidi kuliko kucheza nje ya system kwa hii nchi yetu
 
Magu alikuwa na mapungufu mengi na mazuri mengi. Kwa hatua aliyofanya alijithidi sana ukilinganisha na wengine. Labda kama unalamba asali Kwa sasa huwezi kumsema vizuri Magufuli
Zaidi ya kuwa dikteta na kupenda sifa na uongo sijaona lingine lolote la maana alilofanya kubadili ubaya wa cc
 
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart , jiunge na Chama tawala , chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu , nguvu na fedha , utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo , Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi , amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
Yuko wapi Sasa huyo Magufuli wako? Wewe utakuwa hujielewi na huelewi nature ya Watanzania.

Mtanzania akiona mtu ameiba anamsifia,ukiona anapinga ni Kwa vile hajapata hiyo nafasi ndio maana hawezi Toka hadharani eti akavunjwe miguu anapigania Watanzania wengine,hatuna huo ujinga.
 
Kujenga nchi kurudisha nidhamu kazini na kusimamia rasilimali za nchi na mengine mengi
Kama lipi

Yuko wapi Sasa huyo Magufuli wako? Wewe utakuwa hujielewi na huelewi nature ya Watanzania.

Mtanzania akiona mtu ameiba anamsifia,ukiona anapinga ni Kwa vile hajapata hiyo nafasi ndio maana hawezi Toka hadharani eti akavunjwe miguu anapigania Watanzania wengine,hatuna huo ujinga.
Uko sahihi sisi watanzania hasa watanganyika ni wanafiki sana
 
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart , jiunge na Chama tawala , chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu , nguvu na fedha , utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo , Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi , amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
Nikipata nafas ya mafunzo ya ujasusi na uharamia nitawashughulikia watu wafuatao
1. Harmonize
2. MillardAyo
3. Msoga
4. Msoga jr
5. Mkuu wa fwedha
6. Mwijaku
7. Machawa wote wadogo wadogo na wakubwa
8..........
 
Huyo uliemtaja nae ni wale wale
Kwani alikuwa amewaweka na kuwabadili waliokuwepo
Hakuna aliefuata fikra zake
Kwa kubadili fikra na mfumo inabidi watu wenye maslahi mapana ya nchi ila kwa mtu mmoja lazima wakutoa roho ipitie mdomoni
 
Kujenga nchi kurudisha nidhamu kazini na kusimamia rasilimali za nchi na mengine mengi
Hakukuwa na nidhamu yoyote zaidi ya watumishi wa umma kuonewa ovyo na kina Makonda na hakuna rasilimali zozote zilizolindwa na hata yale makinikia wenyewe waliyachukua na kuwasafirisha kabla hajafa sema nani aseme? Ili akutwe katuna kwenye kiroba.
 
Yuko wapi Sasa huyo Magufuli wako? Wewe utakuwa hujielewi na huelewi nature ya Watanzania.

Mtanzania akiona mtu ameiba anamsifia,ukiona anapinga ni Kwa vile hajapata hiyo nafasi ndio maana hawezi Toka hadharani eti akavunjwe miguu anapigania Watanzania wengine,hatuna huo ujinga.
Kaenda kua mtakatifu,,kwa sasa anafanya kazi yake kwenye ile nafasi aliyoiomba akiwa mbinguni
images.jpeg-90.jpg
images.jpeg-117.jpg
 
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart , jiunge na Chama tawala , chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu , nguvu na fedha , utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo , Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi , amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
Very True.
Na hili ndo liwe lengo kwa wengi wenye Nia hiyo.
 
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart , jiunge na Chama tawala , chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu , nguvu na fedha , utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo , Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi , amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
Kwani magufuli alinadili kiti zaidi ya kuongeza madudu tu. Aliongeza mafisadi na alitala kula mwenyewe tu mpaka akaficha pesa china
 
Back
Top Bottom