Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Atakayeshindana naye atatoka ndani ya ccm yenyewe
 
Jiwe pamoja na fisiem yake bila kupigwa tafu na vyombo vya ulinzi na usalama ni wepesi kuliko unyoya. Hebu ajisahau iwe uchaguzi huru na wa haki, atapigwa saa 4 asubuhi wakati watu wapo kwenye mistari ya kupiga kupiga kura!
 
Jiwe pamoja na fisiem yake bila kupigwa tafu na vyombo vya ulinzi na usalama ni wepesi kuliko unyoya. Hebu ajisahau iwe uchaguzi huru na wa haki, atapigwa saa 4 asubuhi wakati watu wapo kwenye mistari ya kupiga kupiga kura!
Watu wanasonga elimu,maji,umeme na miundo mbinu!
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Magufuli ni moto!
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Mwambe, Sumaye, Lowassa , Mashinji wangeweza ama wewe ni kama mwanamke malaya ambaye kila kitu anataka?
angegombea Mbowe mngesema kila mwaka, Mwambe mngesema huyo ni ccm mwenzenu, kila kitu mnakosoa, sijui MATAGA mna chawa kichwani au ni unafiki uliopitiliza?
 
Mwambe, Sumaye, Lowassa , Mashinji wangeweza ama wewe ni kama mwanamke malaya ambaye kila kitu anataka?
angegombea Mbowe mngesema kila mwaka, Mwambe mngesema huyo ni ccm mwenzenu, kila kitu mnakosoa, sijui MATAGA mna chawa kichwani au ni unafiki uliopitiliza?
Haya nijibie
 
Back
Top Bottom