Huyu alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote. Ameutumikia Mfuko kwa takribani miaka kumi lakini baada ya kuondoka tu yeye ndiyo Mfuko ukaanza kujulikana.
Yule dada aliyempokea nafasi Justina Mashiba angalau anaonekana kufanya kazi - kwa muda mfupi anaufanya Mfuko uonekane. Juzi juzi katika kazi zao alionekana hadi akipanda bodaboda kwenda kuzindua mawasiliano huko Tabora uswekeni.
Peter Ulanga hujifanya Mzungu mweusi, Kiingereza kingi lakini anajua kujimanage yeye mwenyewe tu. Ule Mfuko aliufanya kama Kampuni yake. Hakuwa anataka kuajiri kabisa kabisa.
Yeye alikuwa na ile Menejimenti yake ya watu watano basi wanafanya kazi hata za Maofisa wa chini ili wajilipe vizuri.
Hakuna alichokifanya cha kujivunia nchi hii (kama kuna kitu kakifanya leteni ushahidi hapa). Huyu bwana anapelekwa TTCL kwenda kuiua kabisa.
Kwa kifupi SSH akitaka TTCL ipae alitakiwa atafute damu changa kwenye sekta ya mawasiliano - alipaswa kutoa watu wazuri Voda au hata Halotel wabadili Menejimenti yote ya TTCL kwa kuondoa wale wazee na kuingiza damu mpya! Old dogs do not learn and bring new techniques.
Menejimenti mpya iwezeshwe pia. Ukweli Peter Ulanga alishajiishia huko na ndiyo maana yeye mwenyewe aliamua kumkimbia JPM kabla ya kushukiwa kama mwewe.
Kwa hiyo SSH kwa Peter Ulanga na Mchechu hamna kipya ulicholeta hapo. Bora hata Mchechu aliyofanya BOA Bank na hata NHC yanajulikana wazi - mazuri na mabaya yake, huyu Peter Ulanga ni mjanja sana sana, ni mchafu aiyependa kuonekana mchafu.
Subirini miaka miwili mitatu ijayo kama mtaona TTCL inainuka mtarudi hapa kuja kunisoma tena!
Yule dada aliyempokea nafasi Justina Mashiba angalau anaonekana kufanya kazi - kwa muda mfupi anaufanya Mfuko uonekane. Juzi juzi katika kazi zao alionekana hadi akipanda bodaboda kwenda kuzindua mawasiliano huko Tabora uswekeni.
Peter Ulanga hujifanya Mzungu mweusi, Kiingereza kingi lakini anajua kujimanage yeye mwenyewe tu. Ule Mfuko aliufanya kama Kampuni yake. Hakuwa anataka kuajiri kabisa kabisa.
Yeye alikuwa na ile Menejimenti yake ya watu watano basi wanafanya kazi hata za Maofisa wa chini ili wajilipe vizuri.
Hakuna alichokifanya cha kujivunia nchi hii (kama kuna kitu kakifanya leteni ushahidi hapa). Huyu bwana anapelekwa TTCL kwenda kuiua kabisa.
Kwa kifupi SSH akitaka TTCL ipae alitakiwa atafute damu changa kwenye sekta ya mawasiliano - alipaswa kutoa watu wazuri Voda au hata Halotel wabadili Menejimenti yote ya TTCL kwa kuondoa wale wazee na kuingiza damu mpya! Old dogs do not learn and bring new techniques.
Menejimenti mpya iwezeshwe pia. Ukweli Peter Ulanga alishajiishia huko na ndiyo maana yeye mwenyewe aliamua kumkimbia JPM kabla ya kushukiwa kama mwewe.
Kwa hiyo SSH kwa Peter Ulanga na Mchechu hamna kipya ulicholeta hapo. Bora hata Mchechu aliyofanya BOA Bank na hata NHC yanajulikana wazi - mazuri na mabaya yake, huyu Peter Ulanga ni mjanja sana sana, ni mchafu aiyependa kuonekana mchafu.
Subirini miaka miwili mitatu ijayo kama mtaona TTCL inainuka mtarudi hapa kuja kunisoma tena!