Sio Mchechu tu hata uteuzi wa Peter Ulanga hamna kitu kabisa

Sio Mchechu tu hata uteuzi wa Peter Ulanga hamna kitu kabisa

Wale wazee unaposema eaondolewe wanakuwa wanafukuzwa kazi au unawaondoaje?
Huyu alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote. Ameutumikia Mfuko kwa takribani miaka kumi lakini baada ya kuondoka tu yeye ndiyo Mfuko ukaanza kujulikana.

Yule dada aliyempokea nafasi Justina Mashiba angalau anaonekana kufanya kazi - kwa muda mfupi anaufanya Mfuko uonekane. Juzi juzi katika kazi zao alionekana hadi akipanda bodaboda kwenda kuzindua mawasiliano huko Tabora uswekeni.

Peter Ulanga hujifanya Mzungu mweusi, Kiingereza kingi lakini anajua kujimanage yeye mwenyewe tu. Ule Mfuko aliufanya kama Kampuni yake. Hakuwa anataka kuajiri kabisa kabisa.

Yeye alikuwa na ile Menejimenti yake ya watu watano basi wanafanya kazi hata za Maofisa wa chini ili wajilipe vizuri.

Hakuna alichokifanya cha kujivunia nchi hii (kama kuna kitu kakifanya leteni ushahidi hapa). Huyu bwana anapelekwa TTCL kwenda kuiua kabisa.

Kwa kifupi SSH akitaka TTCL ipae alitakiwa atafute damu changa kwenye sekta ya mawasiliano - alipaswa kutoa watu wazuri Voda au hata Halotel wabadili Menejimenti yote ya TTCL kwa kuondoa wale wazee na kuingiza damu mpya! Old dogs do not learn and bring new techniques.

Menejimenti mpya iwezeshwe pia. Ukweli Peter Ulanga alishajiishia huko na ndiyo maana yeye mwenyewe aliamua kumkimbia JPM kabla ya kushukiwa kama mwewe.

Kwa hiyo SSH kwa Peter Ulanga na Mchechu hamna kipya ulicholeta hapo. Bora hata Mchechu aliyofanya BOA Bank na hata NHC yanajulikana wazi - mazuri na mabaya yake, huyu Peter Ulanga ni mjanja sana sana, ni mchafu aiyependa kuonekana mchafu.

Subirini miaka miwili mitatu ijayo kama mtaona TTCL inainuka mtarudi hapa kuja kunisoma tena!
 
Huyu alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote. Ameutumikia Mfuko kwa takribani miaka kumi lakini baada ya kuondoka tu yeye ndiyo Mfuko ukaanza kujulikana.

Yule dada aliyempokea nafasi Justina Mashiba angalau anaonekana kufanya kazi - kwa muda mfupi anaufanya Mfuko uonekane. Juzi juzi katika kazi zao alionekana hadi akipanda bodaboda kwenda kuzindua mawasiliano huko Tabora uswekeni.

Peter Ulanga hujifanya Mzungu mweusi, Kiingereza kingi lakini anajua kujimanage yeye mwenyewe tu. Ule Mfuko aliufanya kama Kampuni yake. Hakuwa anataka kuajiri kabisa kabisa.

Yeye alikuwa na ile Menejimenti yake ya watu watano basi wanafanya kazi hata za Maofisa wa chini ili wajilipe vizuri.

Hakuna alichokifanya cha kujivunia nchi hii (kama kuna kitu kakifanya leteni ushahidi hapa). Huyu bwana anapelekwa TTCL kwenda kuiua kabisa.

Kwa kifupi SSH akitaka TTCL ipae alitakiwa atafute damu changa kwenye sekta ya mawasiliano - alipaswa kutoa watu wazuri Voda au hata Halotel wabadili Menejimenti yote ya TTCL kwa kuondoa wale wazee na kuingiza damu mpya! Old dogs do not learn and bring new techniques.

Menejimenti mpya iwezeshwe pia. Ukweli Peter Ulanga alishajiishia huko na ndiyo maana yeye mwenyewe aliamua kumkimbia JPM kabla ya kushukiwa kama mwewe.

Kwa hiyo SSH kwa Peter Ulanga na Mchechu hamna kipya ulicholeta hapo. Bora hata Mchechu aliyofanya BOA Bank na hata NHC yanajulikana wazi - mazuri na mabaya yake, huyu Peter Ulanga ni mjanja sana sana, ni mchafu aiyependa kuonekana mchafu.

Subirini miaka miwili mitatu ijayo kama mtaona TTCL inainuka mtarudi hapa kuja kunisoma tena!


Wangewaacha mngesema hivyo hivyo! Kwanza hakuna sababu ya serikali kuwa na kampuni ya simu!. Kwenye Nyumba tatizo ni bei, kodi na riba za bank
 
Fadhira baba au mama ako aliifanyia nn serikali bila hivo watoto wa maskini subirieni kwanza
 
Itoshe sasa kuishia kulaumu tu, hebu nendeni mbele kwa kumuorodheshea kabisa raisi watu wa kuwateua ili afanye hivyo kila apatapo nafasi. Tunahitaji kupumzika sasa na makelele haya kila siku.
 
Wangewaacha mngesema hivyo hivyo! Kwanza hakuna sababu ya serikali kuwa na kampuni ya simu!. Kwenye Nyumba tatizo ni bei, kodi na riba za bank
Inaweza ikawa kweli hii!
 
Itoshe sasa kuishia kulaumu tu, hebu nendeni mbele kwa kumuorodheshea kabisa raisi watu wa kuwateua ili afanye hivyo kila apatapo nafasi. Tunahitaji kupumzika sasa na makelele haya kila siku.
Aseee!
 
Nilikwenda TTCL pugu road kununua router, nilichoka.
Kuko na vibibi vinavyotakiwa kulea wajukuu pale na vibabu tu. Kuanzia nalipa mpaka kuja kupewa risiti ya computer hata aliyeagiza kitimoto kavu alishakula.
Kwanini wasiajiri watu walio familiar na computer?
Kwani hakuna kazi nyingine ya kuweza kuwapa wale wastaafu?
Mimi nawaita wastaafu maana sioni wa chini ya miaka stini pale.
 
Huyu alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote. Ameutumikia Mfuko kwa takribani miaka kumi lakini baada ya kuondoka tu yeye ndiyo Mfuko ukaanza kujulikana.

Yule dada aliyempokea nafasi Justina Mashiba angalau anaonekana kufanya kazi - kwa muda mfupi anaufanya Mfuko uonekane. Juzi juzi katika kazi zao alionekana hadi akipanda bodaboda kwenda kuzindua mawasiliano huko Tabora uswekeni.

Peter Ulanga hujifanya Mzungu mweusi, Kiingereza kingi lakini anajua kujimanage yeye mwenyewe tu. Ule Mfuko aliufanya kama Kampuni yake. Hakuwa anataka kuajiri kabisa kabisa.

Yeye alikuwa na ile Menejimenti yake ya watu watano basi wanafanya kazi hata za Maofisa wa chini ili wajilipe vizuri.

Hakuna alichokifanya cha kujivunia nchi hii (kama kuna kitu kakifanya leteni ushahidi hapa). Huyu bwana anapelekwa TTCL kwenda kuiua kabisa.

Kwa kifupi SSH akitaka TTCL ipae alitakiwa atafute damu changa kwenye sekta ya mawasiliano - alipaswa kutoa watu wazuri Voda au hata Halotel wabadili Menejimenti yote ya TTCL kwa kuondoa wale wazee na kuingiza damu mpya! Old dogs do not learn and bring new techniques.

Menejimenti mpya iwezeshwe pia. Ukweli Peter Ulanga alishajiishia huko na ndiyo maana yeye mwenyewe aliamua kumkimbia JPM kabla ya kushukiwa kama mwewe.

Kwa hiyo SSH kwa Peter Ulanga na Mchechu hamna kipya ulicholeta hapo. Bora hata Mchechu aliyofanya BOA Bank na hata NHC yanajulikana wazi - mazuri na mabaya yake, huyu Peter Ulanga ni mjanja sana sana, ni mchafu aiyependa kuonekana mchafu.

Subirini miaka miwili mitatu ijayo kama mtaona TTCL inainuka mtarudi hapa kuja kunisoma tena!
Kweli kabisa, mhuni yule hana hata mke sijui anapewaje taasisi kubwa vile kuwa CEO wake
 
Nilikwenda TTCL pugu road kununua router, nilichoka.
Kuko na vibibi vinavyotakiwa kulea wajukuu pale na vibabu tu. Kuanzia nalipa mpaka kuja kupewa risiti ya computer hata aliyeagiza kitimoto kavu alishakula.
Kwanini wasiajiri watu walio familiar na computer?
Kwani hakuna kazi nyingine ya kuweza kuwapa wale wastaafu?
Mimi nawaita wastaafu maana sioni wa chini ya miaka stini pale.
Hata kuvibadilishia tu potifolio waache vijana wabunifu wapige kazi!
 
Back
Top Bottom