Sio roho mbaya kwa Mwakinyo ila kinachomfaa ni burudani na maonesho

Sio roho mbaya kwa Mwakinyo ila kinachomfaa ni burudani na maonesho

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mzungu anasema, "Put your money where your mouth is".

Sasa jamaa anaongea sana zaidi ya anavyofanya boxing.

Seems like kuburudisha watu na maneno yake ya ujuaji na uvaaji ndio anachokiweza zaidi kwa sasa.

Screenshot_20231016_141841_Instagram.jpg
Screenshot_20231016_141843_Instagram.jpg
 
hashauriki, hana manager yeye ndio manager wa manager wake.... alitakiwa kuwa na team itayomsaidia kuwa mkubwa na kuvutia wapenzi wengi, ila majigambo yaliyopita mipaka na vibifu vidogo vidogo vinamuangusha.... Tanzania tuna vipaji sana, shida ni management za kutusaidia, ndio maana hata mikataaba tunaingia wenyewe baadae tunalalamika., na shida kubwa ni kukosa elimu
 
hashauriki, hana manager yeye ndio manager wa manager wake.... alitakiwa kuwa na team itayomsaidia kuwa mkubwa na kuvutia wapenzi wengi, ila majigambo yaliyopita mipaka na vibifu vidogo vidogo vinamuangusha.... Tanzania tuna vipaji sana, shida ni management za kutusaidia, ndio maana hata mikataaba tunaingia wenyewe baadae tunalalamika., na shida kubwa ni kukosa elimu
Hahahaha eti yeye ndie manager wake mwenyewe

Mswahili sana huyu jamaa
 
Back
Top Bottom