Sio sawa kuwafanyia indoctrination au brainwashing za kidini watoto wadogo hivi

Sio sawa kuwafanyia indoctrination au brainwashing za kidini watoto wadogo hivi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Screenshot_20240908-215043_X.jpg
 
Huyu ni mimi mtupu nlivokua mdogo lakini saivi nimeachana na hayo mambo
 
Kuna shida yeyote?kwa nn tunawanunulia watoto toys ,tunawauliza wakiwa wakubwa wanataka kuwa kina nani?ni kosa kumnunulia mtoto nguo za ki-Pilot ama za sheikh ama daktari?
Ni kosa kumnunulia nguo za sheikh au ushungi kwa sababu utakuwa unamfanyia brainwashing.
 
"waacheni watoto wadogo waje kwangu..."

halafu kuna Snoop Dog mmoja anapingana na maandiko
 
Back
Top Bottom