Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuupinga Muungano wa Tanzania

Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuupinga Muungano wa Tanzania

Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuuping Muungano wa Tanzania kuwa sio wa haki na unafaa kuangaliwa au kuvunjwa ni tuhuma zilizowapelekea kusota mahabusu au jela za Tanganyika aka Tanzania Bara(TZB).

Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.

Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.

Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?
Hilo mbona liko wazi. mliokuwa hamjui ni nyie wachache tu. hata hao wanaopinga wanajua fika sababu ni kupinga aina ya muungano uliopo. Kama ni hayo makanisa zanzibar yapo tangu miaka ya 1800 na wala hayajawahi kubugudhiwa. pole kwa kuchelewa kulijua hilo.
 
Sasa kama lengo lilikuwa ni kuukataa Muungano, kwa nini hawakuwashawishi nyinyi wafuasi wao kutumia njia sahihi za kujitenga na huo Muungano? Mfano kuandika Petition, nk.

Na badala yake wakahamasisha kuwafanyia vurugu watu wa imani tofauti! Ikiwemo kuwamwagia tindikali na kuchoma nyumba zao za ibada?
unaweza shangaa hayo yalifanywa na wale eagle kuhalalisha hayo kwa ustadi mkubwa! think beyond mkuu! mambo mengine ni bora kujinyamazia tu!
 
Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuuping Muungano wa Tanzania kuwa sio wa haki na unafaa kuangaliwa au kuvunjwa ni tuhuma zilizowapelekea kusota mahabusu au jela za Tanganyika aka Tanzania Bara(TZB).

Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.

Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.

Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?
Lile lilikuwa ni G55 na siyo G58. Na siyo kweli kuwa Rais aliyekuwepo ndiye alilizima,aliyelizima ni alikuwa Mwalimu Nyerere ambaye hakuwa Rais wakati huo,aliyekuwa Rais alikuwa ni Mzee Mwinyi na tofauti na Hawa mashehe wao walitoka dini tofauti na hoja yao waliitolea bungeni siyo msikitini au kanisani.
 
Hiyo siyo tatizo kuwaachia huru masheikh wa Uamsho
Kule Unguja, every once in while,Sheikh atashika mike na kusema,Hakuna Muungano, Unguja tunaonewa
Jaji Mkuu
juzi.alikuwa anasema hakimu asiingiliwe.katika kesi.
Anayasema maneno haya mbele ya Rais,kwa sababu bila shaka anataka kumuelimisha Rais
Sasa,kesi ya Uamsho ilivyochelewa kuisha, Jaji Mkuu atueleze,ilikuwa imeingiliwa na nani?
Rais anaweza kuwatoa wale kesho asubuhi bila kukiuka Katiba.
Waambie tu wanavyotoka pale wasimuulize Shein,*Kiko wapi?"
BAKWATA wameomba waachiwe huru,which is significant,kwa sababu BAKWATA hawana kawaida ya kuwaunga mkono renedade preachers.
Kama kuwaadhibu,hiyo miaka saba waliyokaa jela inatosha
 
Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuuping Muungano wa Tanzania kuwa sio wa haki na unafaa kuangaliwa au kuvunjwa ni tuhuma zilizowapelekea kusota mahabusu au jela za Tanganyika aka Tanzania Bara(TZB).

Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.

Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.

Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?
Acha Ushamba wewe.
Mbona unawachongea Mashehe. Hakuna nchi ambayo chanzo chake siyo Muungano
 
Ni kweli ikiwa jibu lako limesibu suali lakini angalia vizuri ulete jibu muafaka sio unakurupuka. Hao wabunge wao walitaka nchi igawanyike au irekebishike ndio nikasema angalia suali?

Mashekhe wa uamsho ukiangalia mikutano yao utaowa walitaka Nchi irekebishike na sio bla bla walikuwa na hoja nzito dhidi ya haki na usawa katika Muungano,unajua kama Zanzzibai inaidai Serikali ya muungano?

Ikidai muzilipe ni ugaidi na kero ni nyingi tu,hivi wewe ukibeba kilo tano za sukari toka Dar kwenda Mtwara unazilipia iweje ukitoka Zanzibar iwe ni kesi ya uhujumu uchumi ?
Kwani kudai ndo kunakupelekea kutaka kujitenga ?? Kudaiwa ni Jambo la kawaida

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuuping Muungano wa Tanzania kuwa sio wa haki na unafaa kuangaliwa au kuvunjwa ni tuhuma zilizowapelekea kusota mahabusu au jela za Tanganyika aka Tanzania Bara(TZB).

Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.

Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.

Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?
Hayo ni maneno wamekutuma uyasemeeeeee au ni yako tu? Kama kweli wanakiri kosa lao, hizi mbwembwe zote na sumbuasumbua ni za nini? Na wewe kama kumbe unapinga Muungano kwa kuua Mapadri kutoka Bara, nawe utakamatwa. Nasikua wenzao wanegam8a Msumbiji, je ni kwelu?
 
Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuuping Muungano wa Tanzania kuwa sio wa haki na unafaa kuangaliwa au kuvunjwa ni tuhuma zilizowapelekea kusota mahabusu au jela za Tanganyika aka Tanzania Bara(TZB).

Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.

Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.

Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?

Kuupinga Muungano wa Tanzania ni uhaini?​

 
Back
Top Bottom