Mimi na uanaume wangu huu lakini serikali ya jiwe naiogopa kama nini
Naogopa kusema chochote
Lakini huyu ney wamitego hasikii naona bado anamsimamo, wasanii wote wameufyata
Kuna bwana mdogo anaitwa Roma mkatoliki enzi hizo tulikua tukimuona ndio shujaa lakini kumbe ni nyuki wa mashineni sasaivi anameufyata anakata viunoππππ
Lakini huyu mwanaume Ney yeye msimamo wake uko palepale sio siri ni jasili
Hongera ney Wa mitego umewakomboa wanaume Wa dar
Ngoja niendelee kuburudika na hizi kibao safi toka kwa ney Wa mitego
#ALISEMA
Hii ni kauli nzito sana,tusiipuuze..hasa kwa mleta huu uzi,jitafakari..Mwanaume unapousifia "UANAUME WA MWANAUME MWENZIO" inabidi sisi nao tuanze kuhoji kuhusu UKAMILIFU WA UANAUME WAKO
Ujasiri wangu ni kuwa nipo tayari kwa lolote.. Nimezaliwa siku moja na ntakufa siku moja, kingne huwa siogopi kufa.Umeandika kama mzaha; lakini ni jambo zito sana. Hata mimi nashangaa ujasiri wake.
Ni kweli, kusema mwanaume wa dar lakini tambua mwanaume ni yule yule wa leo hata jana na kesho.. Sioni upungufu wowote kudai huyu mwanaume wa dar mnavyowachukulia ni tofauti.Post ya mwanaume wa dar
Tuwekee link. Hapa tuidownlad mkuuMimi na uanaume wangu huu lakini serikali ya jiwe naiogopa kama nini
Naogopa kusema chochote
Lakini huyu ney wamitego hasikii naona bado anamsimamo, wasanii wote wameufyata
Kuna bwana mdogo anaitwa Roma mkatoliki enzi hizo tulikua tukimuona ndio shujaa lakini kumbe ni nyuki wa mashineni sasaivi anameufyata anakata viunoππππ
Lakini huyu mwanaume Ney yeye msimamo wake uko palepale sio siri ni jasili
Hongera ney Wa mitego umewakomboa wanaume Wa dar
Ngoja niendelee kuburudika na hizi kibao safi toka kwa ney Wa mitego
#ALISEMA
Ndiyo ninayo kwa kuwa Jf ni ya watu na siyo ya wadudu[emoji23]Nay wa mitego kumbe una Acc Jf ...!!?
Fikra yako inakupeleka kwa kuwa upotofu, kwahyo watu wanaomsifia Magufuli kuwa ni mtendaji bora mbona hamuwahoji kuhusu maneno yao na uanaume wao.. Tena wengi wanahama vyama na ni wanaume?Mwanaume unapousifia "UANAUME WA MWANAUME MWENZIO" inabidi sisi nao tuanze kuhoji kuhusu UKAMILIFU WA UANAUME WAKO
Unajitafakari nini umbea, ufitina na upotofu wa kufikiria.. Kwani msanii wa kiume anapofanya kazi nzuri hapaswi kusifiwa na mwanaume kisa uanaume wake?Hii ni kauli nzito sana,tusiipuuze..hasa kwa mleta huu uzi,jitafakari..
Angekuwa mwanaume angemchana mwanzo mwisho lkn kauma na kupuliza ubeti wapili anasema maendeleo anayaona na anasifia, kisha akawaponda jamaa zangu wa ufipa wasipingepinge kila kitu, jiwe atake nini tena tena?Mimi na uanaume wangu huu lakini serikali ya jiwe naiogopa kama nini
Naogopa kusema chochote
Lakini huyu ney wamitego hasikii naona bado anamsimamo, wasanii wote wameufyata
Kuna bwana mdogo anaitwa Roma mkatoliki enzi hizo tulikua tukimuona ndio shujaa lakini kumbe ni nyuki wa mashineni sasaivi anameufyata anakata viunoππππ
Lakini huyu mwanaume Ney yeye msimamo wake uko palepale sio siri ni jasili
Hongera ney Wa mitego umewakomboa wanaume Wa dar
Ngoja niendelee kuburudika na hizi kibao safi toka kwa ney Wa mitego
#ALISEMA
Haha sasa siujitambulishe tu kuwa ni wewe kuliko kufungua uzi nakujifanya kuwa una sifiwa na shabikiNdiyo ninayo kwa kuwa Jf ni ya watu na siyo ya wadudu[emoji23]
MkuuNi kweli, kusema mwanaume wa dar lakini tambua mwanaume ni yule yule wa leo hata jana na kesho.. Sioni upungu wowote kudai huyu mwanaume wa dar mnavyowachukulia ni tofauti.