Sio siri ney wa mitego nae ni mwanaume

Sio siri ney wa mitego nae ni mwanaume

Kasema nini kwani ? Ngoja apelekwe alipo pelekwa Roma halafu ndio tumpime kwa ujasiri wake
 
Sijaona kitu chochote alichoimba cha kuogopesha,kaimba pumba tuuu yaaaaan kawaida sana!! .... Au mtoa mada amedata na icho kiitikio cha wimbo tu
 
Sijaona kitu chochote alichoimba cha kuogopesha,kaimba pumba tuuu yaaaaan kawaida sana!! .... Au mtoa mada amedata na icho kiitikio cha wimbo tu
Ili ukione chochote alichoandika na kuimba labda ulitaka aandike na kuimba nini boss!!
 
Pale unapomsifia mwanaume mwenzio... sawa tumesikia, hivi unatokea dar sehemu gani?
 
Mimi na uanaume wangu huu lakini serikali ya jiwe naiogopa kama nini
Naogopa kusema chochote

Lakini huyu ney wamitego hasikii naona bado anamsimamo, wasanii wote wameufyata
Kuna bwana mdogo anaitwa Roma mkatoliki enzi hizo tulikua tukimuona ndio shujaa lakini kumbe ni nyuki wa mashineni sasaivi anameufyata anakata viuno😁😁😁😁

Lakini huyu mwanaume Ney yeye msimamo wake uko palepale sio siri ni jasili

Hongera ney Wa mitego umewakomboa wanaume Wa dar

Ngoja niendelee kuburudika na hizi kibao safi toka kwa ney Wa mitego

#ALISEMA
Like
 
Kawaida sana, ule Parapanda wa RomaXStamina unaogofya zaidi ya huu wa Ney. Halafu huyo Ney unayemsifia bado hajapelekwa kule kwa waminya pumbu so huwezi muweka kundi moja na Roma
 
Back
Top Bottom