HAHAHAH pole sana ila ukienda Zanzibar ndio utazimia kabisa.kuna mabo ni tamaduni za watu isee na unapohitaji kushirikiana nao basi unakuwa mpole unafuata vile maelekezo yao yanavyosema unaweza kuhisi kuwa sio ustaarabu kwao wao ndio nidhamu kubwa sana kufanya hivyo.unasababaisha mchafuko wa hali ya hewa ambao pia ni usumbufu, kero na kichefuchefu kwa wengine..
sio kwasababu ya uchafu wa viatu vyako, uchafu wa miguu au soksi, inaweza kua ni tatizo la asili la kunuka miguu au tatizo la kiafya...
nashauri kujizuia kuvua viatu ofisini kwenu au kwako mnapokua wengi, kuepusha kero hata kwa wateja
Labda wewe mchafu.....sio wote.....jiangalue ubadilikeeeunasababaisha mchafuko wa hali ya hewa ambao pia ni usumbufu, kero na kichefuchefu kwa wengine..
sio kwasababu ya uchafu wa viatu vyako, uchafu wa miguu au soksi, inaweza kua ni tatizo la asili la kunuka miguu au tatizo la kiafya...
nashauri kujizuia kuvua viatu ofisini kwenu au kwako mnapokua wengi, kuepusha kero hata kwa wateja
Isije tu ikawa hizo ofisi unazo ziongelea ni zile za Lumumba, na mhusika anayetupiwa hili bomu ni comrade wako Lucas Mwashambwa.unasababaisha mchafuko wa hali ya hewa ambao pia ni usumbufu, kero na kichefuchefu kwa wengine..
sio kwasababu ya uchafu wa viatu vyako, uchafu wa miguu au soksi, inaweza kua ni tatizo la asili la kunuka miguu au tatizo la kiafya...
nashauri kujizuia kuvua viatu ofisini kwenu au kwako mnapokua wengi, kuepusha kero hata kwa wateja
Noma sanaunasababaisha mchafuko wa hali ya hewa ambao pia ni usumbufu, kero na kichefuchefu kwa wengine..
sio kwasababu ya uchafu wa viatu vyako, uchafu wa miguu au soksi, inaweza kua ni tatizo la asili la kunuka miguu au tatizo la kiafya...
usijiamini sana, harufu ya miguu yako na vuatu vyako ibaki humo humo ndani ya viatua vyako tafadhali, inachefua sana kwakweli dada zangu na kaka zangu wapendwa...
nashauri kujizuia kuvua viatu ofisini kwenu au kwako mnapokua wengi, kuepusha kero hata kwa wateja
Ahahahah Kwa nje ni mkaka/Mbaba na heshima zake..Kuvua viatu unapenda lakini kufua soksi aaaaaaaaa
Kuna wazee smart kama mzee Grahams ilaAhahahah Kwa nje ni mkaka/Mbaba na heshima zake..
Ila akitoa viatu ndo hapo unaanza kulaumu kwanini ulikua unamuheshimu...
Hii hasa hasa ipo kwa wazee wa hovyo..
Kutwa kufakamia watoto wa 2k
Mkuu wewe ni mzee sioNamshukuru Mungu sijawahi kuwa na shida ya harufu ya miguu wala kinywa.
Naswaki nalala na karafuu 1 mpka asubuhi kwa wiki mara 3-4. Hata asubuhi nikiswaki punje 1 ya karafuu mdomoni huyoo kwenye mihangaiko
Nasafisha vzr sehemu za ndani za vidole miguuni napaka limao, so huwa ni utaratibu wangu huo.
Kijana kabisaaa tena bwana mdogoooo hata ukiniona utashangaa.Kwann umeuliza mkuu?Mkuu wewe ni mzee sio
Useme kwamba Wazee humu tuna umoja.Mzee Grahams kwa sasa kuna mambo anafanya mpaka nashindwa pa kumweka..
Assume mtu anatetea wazee wa hovyo kwa hali na mali..
Ukiwasema wazee wa hovyo unakuta jamaa huyu hapa kutetea... Daaah
Daah mkuu kama ni kijana basi unajipenda sana aiseeeKijana kabisaaa tena bwana mdogoooo hata ukiniona utashangaa.Kwann umeuliza mkuu?