Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi unaringa mwenyewe 🤦Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na shida ya harufu ya miguu wala kinywa.
Naswaki nalala na karafuu 1 mpka asubuhi kwa wiki mara 3-4. Hata asubuhi nikiswaki punje 1 ya karafuu mdomoni huyoo kwenye mihangaiko
Nasafisha vzr sehemu za ndani za vidole miguuni napaka limao, so huwa ni utaratibu wangu huo.
Sanaaa,najivunia hiki.Anza na wewe mkuu utaona vile utakuwa poa n.kBasi unaringa mwenyewe 🤦
Hongera ndugu ,Mungu utupa vitu kulingana na uhitaji wetuSanaaa,najivunia hiki.Anza na wewe mkuu utaona vile utakuwa poa n.k
Hata ukinyoa huko wizarani kotekote paka limao utakuwa fresh sn
la miguu unajitesa bure na malimao. mtu ukitaka usinuke miguu unapaswa unapomaliza kuoga vikaushe vidole na taulo kavu. Wengi huwa hawafanyi hivyo.Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na shida ya harufu ya miguu wala kinywa.
Naswaki nalala na karafuu 1 mpka asubuhi kwa wiki mara 3-4. Hata asubuhi nikiswaki punje 1 ya karafuu mdomoni huyoo kwenye mihangaiko
Nasafisha vzr sehemu za ndani za vidole miguuni napaka limao, so huwa ni utaratibu wangu huo.
Sawa mkuu,karibu hapa Ngarenanyuki ndo nipo hapa,huku penu Merula miguu unajitesa bure na malimao. mtu ukitaka usinuke miguu unapaswa unapomaliza kuoga vikaushe vidole na taulo kavu. Wengi huwa hawafanyi hivyo.
mengine ya karafuu uko sahihi big up
ushaopoa dada yangu mmoja au bado?Sawa mkuu,karibu hapa Ngarenanyuki ndo nipo hapa,huku penu Meru
Weeee mkuu ni balaaa,nipo speechless siwezi sema hapa.Ila kiukweli dada zako ni wazuriiiiiiiiiiiiiiiii,rangi na mionekano yao aiseee ni balaa!ushaopoa dada yangu mmoja au bado?
😁Kuvua viatu unapenda lakini kufua soksi aaaaaaaaa
Ivi huu msemo ulianzia wapi nimeuona tu kule x una trendKuvua viatu unapenda lakini kufua soksi aaaaaaaaa
kuna dogo mzanzibari ndio kauanzisha ni memes creatorIvi huu msemo ulianzia wapi nimeuona tu kule x una trend
Hahaha dogo kapatia hata hivyo umekaa kipemba pemba .kuna dogo mzanzibari ndio kauanzisha ni memes creator
mstaarabu anae jijua harufu yake ya miguuni, na anae jali afya za wengine anagoma kuingia anachungulia tu kwa nje anaweza kuvunga amawahi majaliTena wengine wanaweka bingo
Limeandikwa,tafadhali vua viatu au usiingie na viatu
ova
