Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Wakati wa kuficha mtu ndani..Useme kwamba Wazee humu tuna umoja.
Na huu umoja tupo nao tangu wakati ule tunamfukuza Mkoloni wa Kiingereza kwenye ardhi yetu mwaka 1961
Bila kufanya vile huenda yule Kijana angeweza kuuawa ama kudhurika.Wakati wa kuficha mtu ndani..
Ukatoka na panga ahahahahahha
Hovyo kabisa
Umoja wa wazee wa hovyo jf
Wazee hovyo sana nyie ahahahBila kufanya vile huenda yule Kijana angeweza kuuawa ama kudhurika.
Kwahiyo kutokana na Busara zangu za Uzee niliamua kumsaidia yule Kijana ππ€
Kuna siku hiyo karafuu unayolala nayo itakuja kukukwama kooni kama autojinyea unaweza kukata motoNamshukuru Mungu sijawahi kuwa na shida ya harufu ya miguu wala kinywa.
Naswaki nalala na karafuu 1 mpka asubuhi kwa wiki mara 3-4. Hata asubuhi nikiswaki punje 1 ya karafuu mdomoni huyoo kwenye mihangaiko
Nasafisha vzr sehemu za ndani za vidole miguuni napaka limao, so huwa ni utaratibu wangu huo.
ofisi ni kazi kazi tu,Democracy,,uhuru wa kunyoosha miguu
sio ustaarabu kuvua viatu ofisini, ni muhimu zaidi kuzingatia hiliLabda wewe mchafu.....sio wote.....jiangalue ubadilikeee
wengine wanaweza wasije tena ofisini kwako wakikutana na uzito wa harufu nzito na ngumu ya miguu ambayo huebda wewe mwenyewe unaifurahia tu...Tuache kila mtu na miguu yake.
Kila mtu na ofisi yake
Kwani kuna shido
Unajuaje kama miguu yako inanukawengine wanaweza wasije tena ofisini kwako wakikutana na uzito wa harufu nzito na ngumu ya miguu ambayo huebda wewe mwenyewe unaifurahia tu...
ni muhimu kuwazingatia pia wanao tutembelea ofisini mwetu pia, wasiondoke na homa ya kichefuchefu
kama ambavyo unaweza kujua mdomo, kikwapa na pengine maeneo mengine ya mwili yanavyotoa harufu na miguu vile vile unaweza kujua yatoa harufu πUnajuaje kama miguu yako inanuka
Ahahahaha au siokama ambavyo unaweza kujua mdomo, kikwapa na pengine maeneo mengine ya mwili yanavyotoa harufu na miguu vile vile unaweza kujua yatoa harufu π
ni fedheha sana kuambiwa miguu au kitu chako mwilini mwako kina toa harufu. ni vuzuri zaid kujikagua, kujifahamu na kujiridhisha kwamba hauwi kwero kwa wengine kwa namna yoyote ile kutokana na changamoto za mwili wako π
Sio kweli Mkuu, Wazee hatuna mambo meusiWazee hovyo sana nyie ahahah