Wawe na subira kwanza mpaka tumalize game ya jana ili aende kuzikaWana familia wote wawe na Subra ya nini? kwamba wasizike mapema anaweza kufufuka?
Taarifa nyingine zimekaa kisengerema sana
KafaraBoka aliomba mwenyewe kucheza ili kumpa heshima ya kweli Mzee wake
Siyo Boko wa kwanza Lampard, Ballotel Inzagh n. K walipata kucheza wakiwa na misiba ya wapendwa wao
Kolo hilo achana naloSo wewe una uchungu kuliko mwenye mzazi wake?
Akili za kimadako hizi za wana CHADEMA.Kafara
Sio mleta uzi tu bali hata wewe kafaraKafara
aliomba mwenyewe kucheza
hajaulizwa bali yeye mwenyewe ndio aliomba kuchezaMchezaji mwenyewe alionekana kabisa hayuko mchezoni halafu kuna mtu anasema eti aliulizwa kama anaweza kucheza. Tena uto wengi sana walimtukana wakati mechi inaendelea, hayo matusi yake sijui sasa apewe nani.
Watu kama hao tofauti na Simba na Yanga hakuna wanachojua.Boka aliomba mwenyewe kucheza ili kumpa heshima ya kweli Mzee wake
Siyo Boko wa kwanza Lampard, Ballotel Inzagh n. K walipata kucheza wakiwa na misiba ya wapendwa wao
Kwani first eleven ya kila timu si inajulikana mkuu, Yanga kwa mfano Boka au Yao wapo fit utawaachaje nje ya ya kikosoHivi kumbe mchezaji anaweza kumuomba kocha awemo kikosini? Basi Musonda anajichelewesha, Ile nafasi ya Dube inabidi aiombe kila mechi