Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
- Thread starter
- #21
Nimeambiwa hapo kuwa mchezaji anaweza kuomba kupangwa. Hao akina Yao na Boka wapo kwenye permanent line-up bila kujali mpango wa mechi?Kwani first eleven ya kila timu si inajulikana mkuu, Yanga kwa mfano Boka au Yao wapo fit utawaachaje nje ya ya kikoso