Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Kwa kutambua hili nadhani ni heri wanaume wenzangu tuwe tu makini kwa kweli na hawa wanawake zetu.
Sasa sina cha kushauri ila maamuzi yabaki binafsi kwa kila mtu.
Uzi huu ni kwa udhamini wa comment ya member wa jf kwa jina la hearly[emoji1487][emoji1487][emoji1487] salout sana kwako .
Sasa sina cha kushauri ila maamuzi yabaki binafsi kwa kila mtu.
Uzi huu ni kwa udhamini wa comment ya member wa jf kwa jina la hearly[emoji1487][emoji1487][emoji1487] salout sana kwako .