Sioi Solomon awaburuza Mahakamani, ICBC Standard Bank, Stanbic Bank Tanzania Ltd, Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu

Sioi Solomon awaburuza Mahakamani, ICBC Standard Bank, Stanbic Bank Tanzania Ltd, Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
1636001428272.jpeg
1636001442010.jpeg
1636001455357.jpeg
1636001470462.jpeg
1636001487827.jpeg
1636001500067.jpeg
1636001511199.jpeg
1636001522438.jpeg
1636001532663.jpeg
1636001543041.jpeg
1636001561108.jpeg
1636001578217.jpeg

1636001591411.jpeg
 

Attachments

Duh.

Hii ni janja ya watu kupiga hela.

Na hua fidia zinalipwa haraka sana pale wizarani. Ikifika tu madai ya fidia inalipwa haraka kuliko hela ya kununulia madawa ama mashine za hospitali.

Kesi za hivi maamuzi yake yanatolewa haraka sana na watu wanalipwa fidia.

Zama za hii nchi kupigwa na kuliwa zimeanza upywa na kwa kasi kubwa sana.
 
Mafisadi naona wanakuja kwa Kasi kurudisha fedha walizotapishwa na Mwendazake.
Sawa Kikwete tumekuelewa,umesharudisha wafanyakazi hewa wako,Bandari ya Bagamoyo,hata ile gauge ya kusoma mafuta bandarini nafikiri utakuwa umeikata tena.
 
Mmasai kichwa ishapata moto. Alianza Rugemarila, Sioi hapa lazima kulikuwa na mashtaka ya kupikwa kuwatia ndani. Hapa inavyoonekana sioi anatingisha kibubu apate kiasi gharama zake za kupotezewa muda ili hali yeye labda alitenda kwa shinikizo toka kwa wanasiasa.(Lazima walioshitakiwa kwenye hii kesi wako pamoja incl binti yule na aliyekuwa Kamishna wa kodi)

Kuna dot ndefu hapa toka msoga mpaka utokaji wa hii fedha. Rex hawako nyuma watasimamia haki ya mteja wao ipatikane.
 
Mafisadi naona wanakuja kwa Kasi kurudisha fedha walizotapishwa na Mwendazake.
Sawa Kikwete tumekuelewa,umesharudisha wafanyakazi hewa wako,Bandari ya Bagamoyo,hata ile gauge ya kusoma mafuta bandarini nafikiri utakuwa umeikata tena.
Aliwatapisha hela gani?
 
Usisahau haya yote ni matunda ya yule Mzee wako Jiwe! Na wakishinda kesi maana yake kodi zetu ndiyo zitatumika kuwalipa fidia! Huku kukiwa hakuna faida yoyote ile kwa taifa kutokana na kuwaweka ndani kwa muda mrefu, na pasipo na mashtaka yoyote yale ya kueleweka.

Umeamkaje Tate Mkuu?
Hivi mzee wetu Rugemalila na Seth walishindaga kesi?
 
Mafisadi naona wanakuja kwa Kasi kurudisha fedha walizotapishwa na Mwendazake.
Sawa Kikwete tumekuelewa,umesharudisha wafanyakazi hewa wako,Bandari ya Bagamoyo,hata ile gauge ya kusoma mafuta bandarini nafikiri utakuwa umeikata tena.
12 Billion ililiwa ila walilipa kwa DPP 1.5 billion ambayo ni almost 10% ya hasara walioshtakiwa kuleta!! Sasa hapo walitapishwa nini?

Btw vita ya ufisadi ilifanyika kisiasa, hiyo kesi ilihusisha mpka mawaziri ila wanasiasa hawakuguswa wakabana watendaji tu. Hta ESCROW huwezi mfunga Seth huku mawaziri,katibu wa Rais, na gavana walio facilitate utoaji hizo pesa wakaachwa uraiani.

Magufuli was overrated
 
To every action there's an equal and opposite reaction......

#Siempre JMT
 
Sinare🔥🔥🔥🔥

Bado wiki6 tuu kuwasilisha report ya 2021 mwaka kwenye ukoo

Kila binadamu akafanikiwe katika njia zake; tajiri akaongezeke zaidi na maskini akapunguze umaskini
Juzi nimeenda pale kumekucha kwenye mbuzi si nikakuta wameweka nyimbo ya jim reeves nikapata wenge hatari...
 
Back
Top Bottom