Sioi Solomon awaburuza Mahakamani, ICBC Standard Bank, Stanbic Bank Tanzania Ltd, Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu

naona watu wameanza kudai hela zao sasa...
ni wakati wa ndugu zetu wanasheria kurudi kaanani sasa....namuona aunt yetu soon akitukimbia na kuwa busy hahahaha...
Mbona anashtaki Standard Bank ilipe serikali ya Tanzania? Naona wengi hamjasoma document kabla ya kucomment
Rex Attorneys again! Owner wa hii firm si mjumbe wa bodi ya shirika letu tukufu la kuangaza maisha yetu?
 
Waziri wa fedha anaeshtakiwa ni yupi?Mwigulu au Mpango?kama Mpango akipatwa na hatia!je atawajibishwa ?au kujiuzulu??
Naona wanasheria wananoa "bongo" zao wale vichwa.
Kibongo bongo kumshtaki PM ambaye kwa sasa ni VP sio mchezo.
Sijui ndio tupo kwenye mpito kutoka Presidential Decree kwenda utawala wa sheria au ni maruerue tu.
 
Mbona anashtaki Standard Bank ilipe serikali ya Tanzania? Naona wengi hamjasoma document kabla ya kucomment
Hawajaisoma.....wanakurupuka tu kucomment yaliyo ndani ya hisia zao....🤣🤣

Watu wanataka "kamisheni" yao ya 2.4% waliyoingia makubaliano halali......

N.B Respondents wako wanne hapo.......


SIEMPRE JMT
 
Rugemalila tayari ashafungua kesi tutarajie kumlipa .
 
Is it pay back time?

Next one; Shose.
 

Rugemalila amesema amesamehe😉
 
Mafisadi naona wanakuja kwa Kasi kurudisha fedha walizotapishwa na Mwendazake.
Sawa Kikwete tumekuelewa,umesharudisha wafanyakazi hewa wako,Bandari ya Bagamoyo,hata ile gauge ya kusoma mafuta bandarini nafikiri utakuwa umeikata tena.
Mahakamani itajulikana tu kama kutapishwa kulikuwa kwa haki au la.
 
Balaa na nusu yaani mwaka huu mikesi kama yote , kipindi cha jiwe wasajili walikua wanaagizwa hakuna kupokea wala kusajili kesi mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…