Magufuli bado anakuchapa hata baada ya kufa!mungu wenu wa Chato ni huyo Magufuli.
Soma vitabu vya dini zote utaelewa kwa matendo ya mtu huyo makazi yake ni Jehenamu.
Nina uhakika hujasoma na hujui kilichoko kwenye hizo documts ni kitu ganiKesi za namna hii zitaligharimu Taifa pesa nyingi sana, kila mtu aliebambikiwa kesi akiamua kudai Fidia ni harara kubwa sana kwa Jamhuri, hakuna sababu ya kuwaweka watu ndani tena kwa miaka mingi kama hakuna evidence za makosa
Umesoma na kuelewa kinachojadiliwa kweli?Awamu hii italipa Sana madeni bado watu wa kimara waliobomolewa wanajipanga lazima walipwe fidia.
Yule mwamba alikurupuka Sana
Hivi unajua kinachodaiwa au unakurupuka? Hizo pesa zililipwa kwa Serikali ya Uingereza ila Sioi anasema ni haki ya Serikali ya Tanzania hivyo zilipwe kwenye serikali ya Tanzania na siyo yeye anaidai Serikali ya Tanzania!Usisahau haya yote ni matunda ya yule Mzee wako Jiwe! Na wakishinda kesi maana yake kodi zetu ndiyo zitatumika kuwalipa fidia! Huku kukiwa hakuna faida yoyote ile kwa taifa kutokana na kuwaweka ndani kwa muda mrefu, na pasipo na mashtaka yoyote yale ya kueleweka.
Hapo hakuna hatia bali kuna declarations!Waziri wa fedha anaeshtakiwa ni yupi?Mwigulu au Mpango?kama Mpango akipatwa na hatia!je atawajibishwa ?au kujiuzulu??
Kizungu hasa kinapokuwa cha kisheria naona kinaleta shida! 80% ya great thinkers wameingia chaka!Je inahusiana na ile ya kuwekwa ndani miaka kadhaa bila uchunguzi kukamilika, kisha DPP anatamka "serikali haina nia ya kuendelea na kesi". Watuhumiwa wanaachiwa.
Ukweli mtupu.....Kesi za namna hii zitaligharimu Taifa pesa nyingi sana, kila mtu aliebambikiwa kesi akiamua kudai Fidia ni harara kubwa sana kwa Jamhuri, hakuna sababu ya kuwaweka watu ndani tena kwa miaka mingi kama hakuna evidence za makosa
Upigaji upi?!!Upigaji umeanzaa raismi sas ni mwendo wa kufoji nyaraka tu
Mtazitapika tu tena ni swala la muda.Just suffer in silence, no need to scream.
Badala ya kumpongeza JP angalau mawaziri wengine walirudisha pesa,Ruge na huyu mhindi walitiwa nguvuni,unamulaumu?12 Billion ililiwa ila walilipa kwa DPP 1.5 billion ambayo ni almost 10% ya hasara walioshtakiwa kuleta!! Sasa hapo walitapishwa nini?
Btw vita ya ufisadi ilifanyika kisiasa, hiyo kesi ilihusisha mpka mawaziri ila wanasiasa hawakuguswa wakabana watendaji tu. Hta ESCROW huwezi mfunga Seth huku mawaziri,katibu wa Rais, na gavana walio facilitate utoaji hizo pesa wakaachwa uraiani.
Magufuli was overrated
hii lugha ya malkia itasababisha UVCCM washindwe kutukana vizuri.
Wewe ni mgeni Galilaya hujui kinachotokea. Subiri ujio wa yesu kwa mara ya piliRugemalira hajafungua kesi ya kuidai serikali Bali anaisaidia serikali kulipwa pesa zake.
Shida nayoiona watu hawasomi hiyo case na hawataki kusoma
Hata hii ya sioi nayo watu hawajasoma hoyo case
Kizungu hasa kinapokuwa cha kisheria naona kinaleta shida! 80% ya great thinkers wameingia chaka!
Yeah ndio maana nimekubali vita ya ufisadi ilikuepo ila nachosema ilikua biased yaani wezi 20 afu unakamata wawili pekee!!Badala ya kumpongeza JP angalau mawaziri wengine walirudisha pesa,Ruge na huyu mhindi walitiwa nguvuni,unamulaumu?
Vipi mzee wa Msoga Kwanza Jambo lilitokea kipindi chake,pesa mpaka wa Ikulu walichota, mawaziri wake,Halafu eti kuzuga akakamata vijana wa BOTππππ
Waliocomment hapo juu wote hawajasoma document. Huyo nimetafsiri kwamba anataka hela iliyolipwa kwa Mwingereza irudishwe kwani hakuwa mwathirika wa hii voidable contract. Ila sijui chochote kuhusu sheriaMbona anashtaki Standard Bank ilipe serikali ya Tanzania? Naona wengi hamjasoma document kabla ya kucomment
Mkuu kumbuka hata Ruge amekuja na lengo la kuipambania serikali, mwisho wa siku Ruge anachake pale sawa na SIOI. Kula mtori nyama utazikia badaeHivi unajua kinachodaiwa au unakurupuka? Hizo pesa zililipwa kwa Serikali ya Uingereza ila Sioi anasema ni haki ya Serikali ya Tanzania hivyo zilipwe kwenye serikali ya Tanzania na siyo yeye anaidai Serikali ya Tanzania!