Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

Sema sizitaki mbichi hizi!
Hujakutana na chura lililofundwa mbona ungejiapiza umechelewa wapi.
Aliyepata kapata aliyekosa pole yake
Hata mimi nimejaaliwa mashallahu na faida yake naiona na wenye kuijua faida na matumizi wanafaidika kupita maelezo.
Pole kwa kukosa kalio. Pole weeeeee!
 
Haaa haaa eti sizitaki mbichi hizi, anasema tu tu wapite wadada 2 mwenye kalio na mwenye flat wapi shingo zitazungushwa awe mkweli tu, kama kakosa pole yake tu nikulilia tu tumboni hakuna namna kama alishatoka na mapera au tikiti nikumshukuru Mungu tu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hebu tuone kama hutojali
 
Mimi. Sioni faida ya misuli..yaani huwa nawaangalia wabeba vyuma..hata Roho haishituki...Nawaza TU Sasa Hawa wanafanya Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…