Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Inauma sana mkuuHuwezi kivipi wakati umeshamtia mimba mkuu?
Hebu tuache bana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma sana mkuuHuwezi kivipi wakati umeshamtia mimba mkuu?
Hebu tuache bana!!
Wakat mmekubaliana hayo.. hii akili ulikuwa umeweka chini ya uvungu au?Nilikuwa kwenye mahusiano na mke wa mtu, ambapo bidada baada ya kunogewa alishauri tuzae mtoto, ambapo atabeba mimba yangu, na kumuhadaa mumewe kuwa ni mimba yake, pia na mtoto atakayezaliwa atatumia jina la mumewe.
Kutokana na ushawishi, ilibidi nimkubalie na kwa sasa yuko karibuni kujifungua.
Kinachonitesa katika nafsi yangu kwa sasa, ni hapo mbeleni nitakapokua namuona mtoto, nikijua kabisa ni mtoto wangu lakini sina maamuzi naye, kwa sababu hatokuwa anatumia jina langu, naye pia hatojulishwa kuwa mimi ni baba yake; Inakuwa kama vile, mbegu nilimwaga kwenye mwamba.
Kwa hali hiyo, sioni faida yoyote kuzaa mtoto ambaye hatokuwa chini ya himaya yako.
Halafu awe mumefanana copyright hapo ndipo utakapozidi kuumia.Kinachonitesa katika nafsi yangu kwa sasa, ni hapo mbeleni nitakapokua namuona mtoto, nikijua kabisa ni mtoto wangu lakini sina maamuzi naye, kwa sababu hatokuwa anatumia jina langu, naye pia hatojulishwa kuwa mimi ni baba yake; Inakuwa kama vile, mbegu nilimwaga kwenye mwamba.
Utakuta mtoto wake ndio ana akili za darasani kuliko wa mume.Halafu awe mumefanana copyright hapo ndipo utakapozidi kuumia.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mke wa mtu, ambapo bidada baada ya kunogewa alishauri tuzae mtoto, ambapo atabeba mimba yangu, na kumuhadaa mumewe kuwa ni mimba yake, pia na mtoto atakayezaliwa atatumia jina la mumewe. Kutokana na ushawishi, ilibidi nimkubalie na kwa sasa yuko karibuni kujifungua.
Kinachonitesa katika nafsi yangu kwa sasa, ni hapo mbeleni nitakapokua namuona mtoto, nikijua kabisa ni mtoto wangu lakini sina maamuzi naye, kwa sababu hatokuwa anatumia jina langu, naye pia hatojulishwa kuwa mimi ni baba yake; Inakuwa kama vile, mbegu nilimwaga kwenye mwamba.
Kwa hali hiyo, sioni faida yoyote kuzaa mtoto ambaye hatokuwa chini ya himaya yako.