Sioni faida yoyote kuzaa mtoto ambaye hatokuwa chini ya himaya yangu

Wakat mmekubaliana hayo.. hii akili ulikuwa umeweka chini ya uvungu au?
 
Nakushauri mkuu.. fanya ufanyavyo mtoto afanane na wewe mkuu hauna jinsi.. maana ndio itakuwa salama yako
 
Biological father damu nzito kuliko maji ipo siku mambo yatakua hadharani, ila hv inakuaje mpaka utoke na mke wa mtu
 
Kuna boya nae aliona kapaaaata Mke... tukisema vijana wasioe mnatuona mazuzu,,haya sasa Mke wa mtu kaliwa na ujauzito kabeba.

Nakusihi huyo mtoto sio wako pia..

Umepigwa tu changa la macho mzee.... huyo mshenzi hana maana yoyote anakuchota tu akupige mizinga..
 
Halafu awe mumefanana copyright hapo ndipo utakapozidi kuumia.
 
Ivi ukifikiria kabla ya kutenda au ni tamaa mbele unasubiri mauti😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…