Sioni haja ya kukutana, Naona haja ya kufuata Katiba

Sioni haja ya kukutana, Naona haja ya kufuata Katiba

Ikifuatwa katiba si chama ndio kinakufa kabisa cha kijani!!unafikiri mikutano ya hadhara ikiruhusiwa kuna mtu atatka kujua MAMA yupo wapi leo badala ya Mbowe leo anahutubia wapi!!!na hakuna atakaye fuatilia mikutano ya mama na atafunikwa na chama chake!!!
Hiyo ilikua zamani kaka. Usiishi kwa historia, angalia alama za nyakati. Mbowe juzi katoka jela akajifanya kuzunguka mitaani, nadhani uliona mwitikio ulivyokua. Utadhani Hashim rungwe spunda alivyokua kwenye kampeni za ubwabwa.
 
Wewe Nyani Ngabu uwashauri CHADEMA kama nani? Wapumbavu mna enjoy kuona kuna mivutano ya kisiasa. Mbowe alikuwa jela anateseka peke yake, mambo yamekwisha anafanya siasa za kistaarabu hamtaki. Anzisha na nyinyi vyama vyenu mje mdai Katiba kwa namna mnavyotaka.

Katiba haijawahi kuwa suluhisho la kila kitu popote duniani. Hata USA mbona tunaona blacks wanavyopuuzwa licha ya Katiba kuwapo
Huu ushauri ungewapa CHADEMA maana wao ndo wanaotaka Katiba mpya.
 
Kwanza hilo la mikutano halipaswi kuwa hata na mjadala.

Ni suala lililo wazi kabisa. Na halipaswi hata kusubiri sekunde moja, achilia mbali siku 60.

Tuna jamii Iliyo timid sana.

Tunaporwa haki zetu za kikatiba na hatufanyi kitu.

Matokeo yake watu wanaenda kukaa na huyo huyo mporaji wa hizo haki ili kumwomba azirudishe.

Kwa ujumla, sisi kama jamii, ndiyo wenye matatizo.

Sidhani kama unaweza ukawapora raia wa Marekani haki zao za kikatiba halafu usiku ukalala kwa amani na raha mustarehe!
Tatizo ni UNAANZIA WAPI?
Kumbuka unaongelea wafe wangap, akina nani, wabaki wangap?
Huitaji kuwa jasiri tu, unahitaji kuwa pia na utambuzi wa akili na uwezo wa adui yako!
Kama adui wa taifa ni ccm bas tukubaliane adui huyo bado ana nguvu mno!
Mbaya zaid ni kama tunataka kubadili tu aina ya shetan! Hakuna chama mbadala bado.
Kwa elimu hii ya kujitambua na afya hii ya kiuchumi, bora tujadiliane tu humu watuonee huruma wajibrand for good!
Maana imebak njia moja tu ya kubadili mambo, tena iwe na back up ya nje (IF YOU WANT PEACE........)
" .... Maskini hana kiapo...."
 
Huu ushauri ungewapa CHADEMA maana wao ndo wanaotaka Katiba mpya.
Pole sukuma gang, una maoni Gani baada ya Mwenyekiti wenu kukubali katiba mpya. Hata kiongozi wa sukuma gang Luhaga Mpina naye kaunga mkono katiba mpya. Wewe nobody endelea na matusi mtandaoni katiba mpya hiyo njiani.
 
Back
Top Bottom