Hiyo ilikua zamani kaka. Usiishi kwa historia, angalia alama za nyakati. Mbowe juzi katoka jela akajifanya kuzunguka mitaani, nadhani uliona mwitikio ulivyokua. Utadhani Hashim rungwe spunda alivyokua kwenye kampeni za ubwabwa.Ikifuatwa katiba si chama ndio kinakufa kabisa cha kijani!!unafikiri mikutano ya hadhara ikiruhusiwa kuna mtu atatka kujua MAMA yupo wapi leo badala ya Mbowe leo anahutubia wapi!!!na hakuna atakaye fuatilia mikutano ya mama na atafunikwa na chama chake!!!
Huu ushauri ungewapa CHADEMA maana wao ndo wanaotaka Katiba mpya.Wewe Nyani Ngabu uwashauri CHADEMA kama nani? Wapumbavu mna enjoy kuona kuna mivutano ya kisiasa. Mbowe alikuwa jela anateseka peke yake, mambo yamekwisha anafanya siasa za kistaarabu hamtaki. Anzisha na nyinyi vyama vyenu mje mdai Katiba kwa namna mnavyotaka.
Katiba haijawahi kuwa suluhisho la kila kitu popote duniani. Hata USA mbona tunaona blacks wanavyopuuzwa licha ya Katiba kuwapo
Tatizo ni UNAANZIA WAPI?Kwanza hilo la mikutano halipaswi kuwa hata na mjadala.
Ni suala lililo wazi kabisa. Na halipaswi hata kusubiri sekunde moja, achilia mbali siku 60.
Tuna jamii Iliyo timid sana.
Tunaporwa haki zetu za kikatiba na hatufanyi kitu.
Matokeo yake watu wanaenda kukaa na huyo huyo mporaji wa hizo haki ili kumwomba azirudishe.
Kwa ujumla, sisi kama jamii, ndiyo wenye matatizo.
Sidhani kama unaweza ukawapora raia wa Marekani haki zao za kikatiba halafu usiku ukalala kwa amani na raha mustarehe!
Hilo kama ni tatizo ni la Watanzania wengi! Siyo ajabu, hata Kisukuma sikijui pia! *live =life!🤣🤣🤣🤣
Uwe unaandika Kiswahili tu.
Kiingereza hukiwezi wewe.
Pole sukuma gang, una maoni Gani baada ya Mwenyekiti wenu kukubali katiba mpya. Hata kiongozi wa sukuma gang Luhaga Mpina naye kaunga mkono katiba mpya. Wewe nobody endelea na matusi mtandaoni katiba mpya hiyo njiani.Huu ushauri ungewapa CHADEMA maana wao ndo wanaotaka Katiba mpya.