Sioni haki wala Mantiki ya kukatwa Hela hizi

Sioni haki wala Mantiki ya kukatwa Hela hizi

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Niende kwenye Hoja,
1) Nina laini ya simu niliyosajilia Sim Banking, kwanini nikiweka hela kwenda Benki nakatwa, nikirudisha kwenye laini ileile toka Bank, nakatwa Tena! Kwanini mfumo usitofautishe namba za wateja wao na miamala ya malipo? Mbona ukihamisha Hela kupeleka kwenye Taasisi za uwekezaji,hukatwi mara mbili,(zinapohamishwa na kurudishwa)

2) Nina laini Moja nimesajili,hiyo hiyo nimesajili kama namba ya lipa Kwa Tigo pesa ( Biashara) kwanini ninapohamisha Hela Kwa namba yangu ileile niliyosajilia kote ( Tigo pesa kawaida na lipa Kwa Tigo) nikipeleka lipa pesa ionekane kama mauzo na ninaporudisha kwenye tigo pesa laini Ile Ile,mtu yuleyule nakatwa.

Nahisi Wasomi wetu wanapo enda vyuoni kusoma akili wanaziacha huko huko, kwanini kuwe na double taxation on the same person? Halafu Bado unataka uwe kiongozi,Rais, Waziri Mungu awakemee.
 
Mama anatengenezewa zengwe ipo siku tu.
Huyo mama yenu anayetengenezewa zengwe yeye ana akili za mbuzi kwamba haelewi kabisa? Kwamba ukimswaga akale pumba, anaenda. Ukimswaga akale matembere shambani, anaenda?

Huoni kwamba unamtukana kwamba ni kilaza hana akili. Kwamba anakwamishwa na watu alioteua yeye mwenyewe akawaapisha, wanawajibika chini yake na wanaripoti kwake. Na ana mamlaka ya kuwatoa. Sasa anatengenezewa au anajitengenezea.
 
Niende kwenye Hoja,
1) Nina laini ya simu niliyosajilia Sim Banking, kwanini nikiweka hela kwenda Benki nakatwa, nikirudisha kwenye laini ileile toka Bank, nakatwa Tena! Kwanini mfumo usitofautishe namba za wateja wao na miamala ya malipo? Mbona ukihamisha Hela kupeleka kwenye Taasisi za uwekezaji,hukatwi mara mbili,(zinapohamishwa na kurudishwa)

2) Nina laini Moja nimesajili,hiyo hiyo nimesajili kama namba ya lipa Kwa Tigo pesa ( Biashara) kwanini ninapohamisha Hela Kwa namba yangu ileile niliyosajilia kote ( Tigo pesa kawaida na lipa Kwa Tigo) nikipeleka lipa pesa ionekane kama mauzo na ninaporudisha kwenye tigo pesa laini Ile Ile,mtu yuleyule nakatwa.

Nahisi Wasomi wetu wanapo enda vyuoni kusoma akili wanaziacha huko huko, kwanini kuwe na double taxation on the same person? Halafu Bado unataka uwe kiongozi,Rais, Waziri Mungu awakemee.
Mimi naona huduma za fedha bongo zipo kwa ajili ya kuongeza umaskini na wala siyo kusaidia kama malengo yake yalivyo.
Huoni sion ni kwanini kampuni za simu na benki zinatoza watu gharama za kutoa na kuhamisha hela.
Kwa upande wangu nauona kama wizi uliohalalisha kisheria. Haiwezekani mtu atuma 5000 au anaenda kutoa 3000 eti anakatwa hela ya kutolea. Huo ni wizi
 
Mimi naona huduma za fedha bongo zipo kwa ajili ya kuongeza umaskini na wala siyo kusaidia kama malengo yake yalivyo.
Huoni sion ni kwanini kampuni za simu na benki zinatoza watu gharama za kutoa na kuhamisha hela.
Kwa upande wangu nauona kama wizi uliohalalisha kisheria. Haiwezekani mtu atuma 5000 au anaenda kutoa 3000 eti anakatwa hela ya kutolea. Huo ni wizi
Ukiwa mfanyabiashara ndipo utajua serikali nayo ni wezi halali.
 
Ni kosa kubwa sana kuwa na hela ktk mfumo wa kidigitali TZ.

Unataka kutoka laki mbili na tisini kutoka bank kwenda ktk simu,wanapita na elfu 8 nzima,ukitaka uirudishe kuna elfu 8 tena inakatwa.
 
Niende kwenye Hoja,
1) Nina laini ya simu niliyosajilia Sim Banking, kwanini nikiweka hela kwenda Benki nakatwa, nikirudisha kwenye laini ileile toka Bank, nakatwa Tena! Kwanini mfumo usitofautishe namba za wateja wao na miamala ya malipo? Mbona ukihamisha Hela kupeleka kwenye Taasisi za uwekezaji,hukatwi mara mbili,(zinapohamishwa na kurudishwa)

2) Nina laini Moja nimesajili,hiyo hiyo nimesajili kama namba ya lipa Kwa Tigo pesa ( Biashara) kwanini ninapohamisha Hela Kwa namba yangu ileile niliyosajilia kote ( Tigo pesa kawaida na lipa Kwa Tigo) nikipeleka lipa pesa ionekane kama mauzo na ninaporudisha kwenye tigo pesa laini Ile Ile,mtu yuleyule nakatwa.

Nahisi Wasomi wetu wanapo enda vyuoni kusoma akili wanaziacha huko huko, kwanini kuwe na double taxation on the same person? Halafu Bado unataka uwe kiongozi,Rais, Waziri Mungu awakemee.
Huelewi kuwa kampuni za simu zinafanya biashara ya mawasiliano?

Hujuwi kuwa bank zinafanya biashara ya pesa zako?
 
Huelewi kuwa kampuni za simu zinafanya biashara ya mawasiliano?

Hujuwi kuwa bank zinafanya biashara ya pesa zako?
Unaamini Kila Biashara inayofanywa na benki au makampuni ya simu ni Haki na Halali? Kwanini ninapo transfer Hela kupeleka kwenye investment account benki hawanikati wanasubiri Hela ikirudi kwenye account ndio ikitolewa ikatwe? Unahitaji kuwa Professor kujua hupaswi kukatwa Hela unapotoa mfuko wa shati na kupeleka kwenye mfuko wako wa sketi/ suruari.mtu ni yuleyule,kwanini nilipishwe ishichukuliwe kama kuhamisha ,ledger fees mbona wanakata hakuna anayelalamika?
 
Niende kwenye Hoja,
1) Nina laini ya simu niliyosajilia Sim Banking, kwanini nikiweka hela kwenda Benki nakatwa, nikirudisha kwenye laini ileile toka Bank, nakatwa Tena! Kwanini mfumo usitofautishe namba za wateja wao na miamala ya malipo? Mbona ukihamisha Hela kupeleka kwenye Taasisi za uwekezaji,hukatwi mara mbili,(zinapohamishwa na kurudishwa)

2) Nina laini Moja nimesajili,hiyo hiyo nimesajili kama namba ya lipa Kwa Tigo pesa ( Biashara) kwanini ninapohamisha Hela Kwa namba yangu ileile niliyosajilia kote ( Tigo pesa kawaida na lipa Kwa Tigo) nikipeleka lipa pesa ionekane kama mauzo na ninaporudisha kwenye tigo pesa laini Ile Ile,mtu yuleyule nakatwa.

Nahisi Wasomi wetu wanapo enda vyuoni kusoma akili wanaziacha huko huko, kwanini kuwe na double taxation on the same person? Halafu Bado unataka uwe kiongozi,Rais, Waziri Mungu awakemee.
Kwasababu wewe ni FURSA
 
Kwasababu wewe ni FURSA
Ni issue ya Wananchi kutotumia akili zao ipasavyo na kuona Kila linalofanywa na Serikali ni Sawa na HAKI. Tumesajiri namba Ili zitumike kututambulisha rasmi na kuondoa Kero kama hizo.kwanini umkomoe Mwanananchi badala ya kumpa hamasa.
 
Back
Top Bottom